Kaja kuomba samahani bila aibu

Kaja kuomba samahani bila aibu

Alimpa Talaka akamwambia asimzowe kama Chupi tena asahau alimvulia suruali yake kwa masosa na anaaapa kama wanawake wamekwisha bora akalale na mamake kuliko kumrudia Mdogo wangu....sasa chakushangaza mamake yupo hai na wanawake wakumwaga bado still anamtaka huyu huyu....


Vema nimekusoma ushauri wangu sasa ni kwamba maamuzi ya mwisho ktk sakata hili anayo mtalaka wake wapambanishe ili usikie msimamo wa ndugu yenu
Hilo tu basi mwafaka utakuwa umepatikana
 
Vema nimekusoma ushauri wangu sasa ni kwamba maamuzi ya mwisho ktk sakata hili anayo mtalaka wake wapambanishe ili usikie msimamo wa ndugu yenu
Hilo tu basi mwafaka utakuwa umepatikana
Mdogo wangu amesema aende akalale na MAMAKE kwanza akishamaliza yuko tayari kurudi kwake.
 
@apologise lady

Hapo DNA ilitakiwa kuthibitisha, ili afunge domo lake !! Halafu tatizo shemu yenu hakusoma..maana urithi wa damu ya mtoto ni wa babu saba (7) moja kwa moja atakuwa mwarabu !!

DNA kwani mzaramo hata hela ya kufanyia DNA anayo??? aanze kuwapa gharama watu, aambae aje msoga tufanye kilimo bhana.
 
Jamani hii thread mhhh??Ngoja tu nikae kimya.Please Tyta givuu miii gilasi of wota pulizii
 
Last edited by a moderator:
inategemea imepita kipindi gani kama ni zaidi ya siku 90 yani miezi 3 hapo kasheshe...na pia kama ilikuwa ni talaka 3 pia ni mtihani...nimeona wewe ni muislam nikakujibu kidini zaidi...
 
Ndoa za kiislam huwa jamaa wanaoa kwa ajili ya kuonja tu halafu wampiga chini demu. Ni km maigizo tu???
ila za kikristo ndio za kudumu kama za kina flora mbasha, lady jd, mzee ipp na raisi wako mstaafu etc
 
ila za kikristo ndio za kudumu kama za kina flora mbasha, lady jd, mzee ipp na raisi wako mstaafu etc

Hizo ulizotaja zipo very stable na hawawezi, hao waume na wake zao ni mpaka kifo sabudi
 
Last edited by a moderator:
Nyie ndio mume mponza hata nyumba mumempa - bahati ilioje hiyo ndio maana akajipanisha thamani.
 
Hali zenu wana MMU?

Kuna jambo nashindwa kulielewa, mdogo wangu aliolewa na jamaa ambae hata kazi alikua hana tukamsaidia kumpa mtaji mpaka mambo yake yakawa sawa, alipopata vijisenti akamjeuri kupita kiasi, na muchepuko ndio usiseme.

Yote haikutukera, akapata mwanamke ndio jeuri ikazidi, ikafikia mpaka anampiga mdogo wetu. Kwakweli hapo ustahmilivu ulinishinda, nikakwambia mdogo wangu huyu jamaa ni limbukeni na atakutoa roho bora ufanye maarifa uondoke.

Kabla hata hajajipanga kuondoka jamaa alikuja na mwanamke ndani ya nyumba alopewa zawadi mdogo wetu na Dad siku ya harusi, yule jamaa bila kujali alimfukuza mdogo wetu na kumwambia mie nakupa talaka na sitokurudia wewe labda nilale na mamangu.

Basi mdogo wetu amerudi nyumbani tukamuondoa kwenda Arabuni mwenyezi mungu kamjalia amepata mume anaolewa soon inshallah, huyu bwana sasa fimbo ya mungu imempiga huyo mwanamke alomchukua ni wale wanawake wa type za wadada wa kutunzana; sijui leo kuna kigodoro wapi wanakwenda, mara sare imepita, kwa ufupi jamaa hanaa amerudi kuliko alivyokua mwanzo, na mwanamke kamfukuza.

Cha kushangaza bila aibu jana amekuja nyumbani na kilio tulijua amefiwa kwao, tunashuka chini haya alichojia nini, ooh nimekuja kumrudia mke wangu, mimi ilikua sio akili yangu nilirogwa.

Hivi waungwana, kwa makosa aloyafanya huyu bwana anawezaje kuja kusema nataka kumrejea mke wangu? Wenye ujuzi na mambo kama haya ebu watuambie kama mliwahi kupitia wasohaya kama hawa.

amerogwa!! Ati nini?huyo ndye mchawi anataka kuroga kuwaseparate kati ya maagano ya mungu kwa binadamu kuwa tusizini bali tufunge ndoa kwanza. Sasa naona ananyemelea ili wahairishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom