Basso seleman
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 432
- 119
Akalale Na Mama Ake Kama Alvo Sema.Mungu Aniepushe Na Hyo Dhahma
Tutamlelea mtoto wala asipate tabu,yeye alisema kua mzaramu tangu lini akazaa mtoto wa Kiarabu huyo mtoto atakua wa Bakhressa au wa Manji lakini yeye sie,leo hii tena anataka mwanawe mbona tushampeleka kwa Babake na amempokea kwa furaha na amani..
Jamani mmechanya madesa, sio mimi nimesema hivo ni Zamiluni Zamiluni
Shosti hajifunzi yule mshezi wa tabia sana,unaweza kuamini mdogo wetu anakuja nyumbani kuna harusi ya kaka yetu anaoa anakuja na mwanamke mwengine anasema sheria wanne kama si jeuri yakikwao nini.. naende afike......
Huyu binti na katoto kake na dadake wametuparaganya mawazo tele!!Jamani mmechanya madesa, sio mimi nimesema hivo ni Zamiluni Zamiluni
Huyu binti na katoto kake na dadake wametuparaganya mawazo tele!!
Mimi mwanzo nilielewa ila imefika wakati network ya kichwa imepotea kuhusu mtoto, sijaelewa kabisa mtoto wa nani.
Basi fanya recovery !! siunayo backup ? Maana kuna watu wanadekezwa hadi bombay !! Msaidie dadako, mie ntakumbana na mzaramu wangu!!Mimi mwanzo nilielewa ila imefika wakati network ya kichwa imepotea kuhusu mtoto, sijaelewa kabisa mtoto wa nani.
Wee weee hauna ngumi mpaka uyo kidume anajitawala mpaka hom kwenu, mi kuna jamaa walikua wanakuja na gari hom wanamchukua dogo, mama anawachekea, sista anawachekea tu, nlivorudi likizo nkapata stori, nkampiga biti dogo awambie waume zake wakija tena hom waje na hela ya parking na TP, wakizingua mi ntachoma moto kigali chao haiwezekani si tuhangaike kusomesha halafu wengine watuharibie watoto kijingajinga. Ko huyo jamaa mpaka anapita getini hadi anaingia sebuleni kwenu angechafuka sema mlisamehe sana
Mtoto wa mdogo wangu namezaa na huyu jamaa wakizaramu,lakini yule bwana raha za nje zilivyo mkolea ndio akasema mtoto ni mwarabu sio wake mtoto wa Maji au wa Bkhressa alivyokua na mdomo mchafu kama karo la choo..Mimi mwanzo nilielewa ila imefika wakati network ya kichwa imepotea kuhusu mtoto, sijaelewa kabisa mtoto wa nani.
Tulimpa maisha asijione tofauti na Waume wenzie kumanisha waume zetu wala Kaka zetu,holiday tunampeleka na mdogo wetu alikua mshamba wakutosha,alipojua kuishika pesa basiiiiiiiii mwanamme yeye..inaelekea mlinuendekeza sana akawaona mko desparate mdogo wenu kuwa na sratus ya ndoa..lol...iyo nyumba aliopewa mdg wako kabaki nae yeye?
Basi fanya recovery !! siunayo backup ? Maana kuna watu wanadekezwa hadi bombay !! Msaidie dadako, mie ntakumbana na mzaramu wangu!!
@apologise ladyMtoto wa mdogo wangu namezaa na huyu jamaa wakizaramu,lakini yule bwana raha za nje zilivyo mkolea ndio akasema mtoto ni mwarabu sio wake mtoto wa Maji au wa Bkhressa alivyokua na mdomo mchafu kama karo la choo..
Hapo DNA ilitakiwa kuthibitisha, ili afunge domo lake !! Halafu tatizo shemu yenu hakusoma..maana urithi wa damu ya mtoto ni wa babu saba (7) moja kwa moja atakuwa mwarabu !!
Alimpa Talaka akamwambia asimzowe kama Chupi tena asahau alimvulia suruali yake kwa masosa na anaaapa kama wanawake wamekwisha bora akalale na mamake kuliko kumrudia Mdogo wangu....sasa chakushangaza mamake yupo hai na wanawake wakumwaga bado still anamtaka huyu huyu....Nimekusoma vizuri sana maelezo yako ila nina swali kabla sijatoa ushauri wangu
Swali langu ni je wakati huyu jamaa anamtimua mkewe je alimpa talaka?
Kama jibu ni ndio basi uamuzi wa kurudi mkewe au la anao huyo mtalaka wake nyie chakufanya mwambieni mwenzio hayupo amesafiri ila namba yake aya simu hii hapa ongea nae
Kama hakumpa talaka basi mkae mkijua kwamba huyo mwanamke bado ni mkewe
Mtoto wa mdogo wangu namezaa na huyu jamaa wakizaramu,lakini yule bwana raha za nje zilivyo mkolea ndio akasema mtoto ni mwarabu sio wake mtoto wa Maji au wa Bkhressa alivyokua na mdomo mchafu kama karo la choo..
@apologise lady
Hapo DNA ilitakiwa kuthibitisha, ili afunge domo lake !! Halafu tatizo shemu yenu hakusoma..maana urithi wa damu ya mtoto ni wa babu saba (7) moja kwa moja atakuwa mwarabu !!
Hatuna mda mchafu wa DNA wala hata tukifanya DNA mtoto tunalea sie yeye akazae tumbiri manake huyu amesema sio mwanawe sababau mwarabu.
Indeed, ushateguwa mtego ...You wonderful lady ! usitusahau msimu huu kwa manjonjo !!Ha haa haa, nitake radhi mie, mi mzaramo wa msoga nimekulia kilimo cha nanasi, we mwambie tu mzaramo mwenzetu arudi mvua za msimu zinamuacha huku.