Kaja kuomba samahani bila aibu

Kaja kuomba samahani bila aibu

Nataka Nijue,huyo Mwanaume Alikuwa Mwarabu Au Mzaramo? Kama Ni Mwarabu Na Yeye,basi Dhambi Ya Ubaguzi Inawatesa Na Huko Uarabuni Mdogo Wenu Ataachika Tena,ila Kama Mwanaume Ni Mweusi,hiyo Siyo Dhambi,na Kamwe Dada Yenu Asimrudie,na Nyie Niwaulize,tangu Lini Mwanaume Mzima Apewe Mke Na Mali Juu? Ilikuwa Hakuna Cha Mtaji Nyumba Wala Gari,nyie Mmetoa Vyote,mke Bure,nyumba Bure,gari Bure,ndo Maana Aliwaona Wajinga Sana,siku Nyingine Mkome Na Mjifunze,halafu Mkaendeleza Ubaguzi Ule Ule Kwa Kumpeleka Mdogo Wenu Uarabuni Ili Akaolewe Na Waarabu Wenzenu,kwa Hiyo Hapa Tanzania Hakunaga Waoaji Hadi Uarabuni,yaani Nyie Na Wahindi Ni Wabaguzi Sana,nilikaa Na Wahindi Na Waarabu Pia,nawajua Vizuri Mno,tabia Zenu Za Kibaguzi Zitawagharimu Sana Maishani,huwa Mnajiona Hamstahili Kuchanganya Damu Na Weusi,hadi Mnafikia Hatua Ya Kuoana Kindugu Ili Kwepa Mtu Mweusi,dhambi Mbaya Sana Hiyo Mbele Za Mungu.
 
Pengine hata mdogo wako anampenda huyo huyo, utajuwaje?
 
Nataka Nijue,huyo Mwanaume Alikuwa Mwarabu Au Mzaramo? Kama Ni Mwarabu Na Yeye,basi Dhambi Ya Ubaguzi Inawatesa Na Huko Uarabuni Mdogo Wenu Ataachika Tena,ila Kama Mwanaume Ni Mweusi,hiyo Siyo Dhambi,na Kamwe Dada Yenu Asimrudie,na Nyie Niwaulize,tangu Lini Mwanaume Mzima Apewe Mke Na Mali Juu? Ilikuwa Hakuna Cha Mtaji Nyumba Wala Gari,nyie Mmetoa Vyote,mke Bure,nyumba Bure,gari Bure,ndo Maana Aliwaona Wajinga Sana,siku Nyingine Mkome Na Mjifunze,halafu Mkaendeleza Ubaguzi Ule Ule Kwa Kumpeleka Mdogo Wenu Uarabuni Ili Akaolewe Na Waarabu Wenzenu,kwa Hiyo Hapa Tanzania Hakunaga Waoaji Hadi Uarabuni,yaani Nyie Na Wahindi Ni Wabaguzi Sana,nilikaa Na Wahindi Na Waarabu Pia,nawajua Vizuri Mno,tabia Zenu Za Kibaguzi Zitawagharimu Sana Maishani,huwa Mnajiona Hamstahili Kuchanganya Damu Na Weusi,hadi Mnafikia Hatua Ya Kuoana Kindugu Ili Kwepa Mtu Mweusi,dhambi Mbaya Sana Hiyo Mbele Za Mungu.

MMh Mkuu jina lako na tafkir zako tofauti, kwanza sie ubaguzi kwetu hakuna huyo bwana ni Mzaramu pure,sie baba Mwarabu mama mtanga na mkomoro, na kumpa vitu mume wa mdogo wetu sioni kama jambo baya tunajua kua anatumia yeye na mdogo wetu sasa kama yeye alidhani tulikua wajinga ni asara yake, sababu ya kumuondoa mdogo wetu TZ alikua anaumia sana moyo wake sababu alikua anampenda sana mumewe sasa hata kama wewe ni ndugu yako anaumia na uwezo wakumsaidia unao hutomsaidia?
kuolewa ni rizki ya mtu inapoangukia na mwenyezi mungu ndio anaepanga nani aolewe na nani,
Huko kuowana kindugu unamanisha mtoto wa Baba mkubwa na baba mdogo na shangazi kwa mjomba,isikukere sana kama hupendi au kabila yenu hairukhusu usifanye na wala usijikere kwa jambo lisilo khusu...
 
mshahara wa dhambi ni mauti. . . . !asubrie mauti.
 
OMG !!
moto hauzimwi kwa moto.... tumia maji ili ipatikane suluhu !! hapo yupo mwanawe damu yake ambao huwaita wajomba,mmama mdogo/mkubwa na bibi na babu !!

Tutamlelea mtoto wala asipate tabu,yeye alisema kua mzaramu tangu lini akazaa mtoto wa Kiarabu huyo mtoto atakua wa Bakhressa au wa Manji lakini yeye sie,leo hii tena anataka mwanawe mbona tushampeleka kwa Babake na amempokea kwa furaha na amani..
 
Ndoa za kiislam huwa jamaa wanaoa kwa ajili ya kuonja tu halafu wampiga chini demu. Ni km maigizo tu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom