Kaja kuomba samahani bila aibu

Kaja kuomba samahani bila aibu

amerogwa!! Ati nini?huyo ndye mchawi anataka kuroga kuwaseparate kati ya maagano ya mungu kwa binadamu kuwa tusizini bali tufunge ndoa kwanza. Sasa naona ananyemelea ili wahairishe.

Tushamshiba aende kwa alie bora.
 
Kama katimiza ahadi yake ya kulala na mama yake kwanza ndipo amrudie ndugu yenu basi mpeni mke wake, vinginevyo mcharazeni bakora
 
Ametutukana yani huyu mtu, baada yakumpa maisha anaseme nimewaoa nyote nantaaza kulala na mmoja mmoja
najua mmeolewa lakini hao waumezenu ni madada wote kwangu,sasa leo hii kajaomba samahani eti karogwa,nikamwambia
na alokuroga wala hayupo nyumba hii sema zimekisha sasa unakumbuka shuka kusha kucha..

mngemwambia akarogwe tena......
 
Yaani mkimsamehe huyo mbwa ntaamini dunia hii ina maboya wa kutosha, hata mimi ntalala na nyie mmoja mmoja. Mngenionyesha huyo mtu naweza hata kumshoot! Ila msishange mdogo wenu akiahirisha kuolewa akarudiana naye, si unajua wanawake wanapendaga kweli?
 
Hali zenu wana MMU?

Kuna jambo nashindwa kulielewa, mdogo wangu aliolewa na jamaa ambae hata kazi alikua hana tukamsaidia kumpa mtaji mpaka mambo yake yakawa sawa, alipopata vijisenti akamjeuri kupita kiasi, na muchepuko ndio usiseme.

Yote haikutukera, akapata mwanamke ndio jeuri ikazidi, ikafikia mpaka anampiga mdogo wetu. Kwakweli hapo ustahmilivu ulinishinda, nikakwambia mdogo wangu huyu jamaa ni limbukeni na atakutoa roho bora ufanye maarifa uondoke.

Kabla hata hajajipanga kuondoka jamaa alikuja na mwanamke ndani ya nyumba alopewa zawadi mdogo wetu na Dad siku ya harusi, yule jamaa bila kujali alimfukuza mdogo wetu na kumwambia mie nakupa talaka na sitokurudia wewe labda nilale na mamangu.

Basi mdogo wetu amerudi nyumbani tukamuondoa kwenda Arabuni mwenyezi mungu kamjalia amepata mume anaolewa soon inshallah, huyu bwana sasa fimbo ya mungu imempiga huyo mwanamke alomchukua ni wale wanawake wa type za wadada wa kutunzana; sijui leo kuna kigodoro wapi wanakwenda, mara sare imepita, kwa ufupi jamaa hanaa amerudi kuliko alivyokua mwanzo, na mwanamke kamfukuza.

Cha kushangaza bila aibu jana amekuja nyumbani na kilio tulijua amefiwa kwao, tunashuka chini haya alichojia nini, ooh nimekuja kumrudia mke wangu, mimi ilikua sio akili yangu nilirogwa.

Hivi waungwana, kwa makosa aloyafanya huyu bwana anawezaje kuja kusema nataka kumrejea mke wangu? Wenye ujuzi na mambo kama haya ebu watuambie kama mliwahi kupitia wasohaya kama hawa.

Kabla sijachangia nieleweshe kwanza-nyumba iliyotolewa kama zawadi kwa mdogo wako bado jamaa anaimiliki au mnampango gani kuhusu nyumba hiyo?
 
Kabla sijachangia nieleweshe kwanza-nyumba iliyotolewa kama zawadi kwa mdogo wako bado jamaa anaimiliki au mnampango gani kuhusu nyumba hiyo?
Nyumba Tulichukua kwake,lakini alitoa milango madirisha furniture zote ndio akapeleka kwa huyo mwanamke mwengine.
 
Yaani mkimsamehe huyo mbwa ntaamini dunia hii ina maboya wa kutosha, hata mimi ntalala na nyie mmoja mmoja. Mngenionyesha huyo mtu naweza hata kumshoot! Ila msishange mdogo wenu akiahirisha kuolewa akarudiana naye, si unajua wanawake wanapendaga kweli?

Sijakuelewa vizuri ukisema utalala na sie Mmoja Mmoja unamaanisha nini?
 
Kama katimiza ahadi yake ya kulala na mama yake kwanza ndipo amrudie ndugu yenu basi mpeni mke wake, vinginevyo mcharazeni bakora
Bado na kapewa mpaka feb22 manake Harusi ya mdogo wangu ni first week march.
 
Kama alimtaliki kwa kashfa tele, huyo ni mkewe tena. Labda amlale mama yake kama alivyoahidi

Kama amejishushs na kugundua kosa lake hakuna haja ya visasi.Hayo ni mambo ya ndoa,huwezi jua labda shemeji yenu alikutana na gubeli zoefu lililompotosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom