Asabaya
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 1,310
- 418
- Thread starter
- #21
Mwambie huyo mwanaume aishie hapohapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!! asimletee mabalaa binti wa watu. tena mumuulize amaisha lala na mama yake????????????
Nipe shavu nikupe BONGE LA KISS!! nilikua wa kwanza kuuliza hilo swali kua bwana wewe ushalala na mzazi wako au ndio unafanya matayarisho kwanza? Dad akanitimua kwenye kikao...