Mkuu Kahangwa,
Karibu CHADEMA.Hicho ndicho chama makini pekee cha kuliongoza taifa hili kwenye Neema.Ndiyo chama kinachoweza kupambana na kuifanya Tanzania kuwa superpower katika hii Region. Wakenya wanatuburuza kiuchumi kwa kuwa hatuna chama chenye idea za kuleta ukuaji wa Uchumi.
Karibu CHADEMA chama pekee kilichokubalika na shujaa wa Taifa hili Mwalimu JK Nyerere.Ndiyo maana hata ndugu zake infact familia yake imeaamua kujiunga na CHADEMA kwani wametaka kuendelea kumuenzi
Hiki ndicho chama pekee kilichoibuka shujaa wa kupambana na unyonyaji kaitka taifa hili.Mzimu wa Mwembeyanga bado unaungaza hadi leo.Mkuu uamuzi wako uwe wa busara,kuliko kujaribu huko CCM ni bora sasa ufanye chaguo sahihi,jiunge na CHADEMA