Kahangwa aachana na NCCR!

Kahangwa aachana na NCCR!

Waridi

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2008
Posts
1,025
Reaction score
174
Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Itikadi na Mafunzo ya chama cha NCCR-Mageuzi, leo amejiuzuru rasmi uongozi na uanachama wa chama hicho.

Habari hizi kanithibitishia mwenyewe kwa njia ya simu, ingawa hakunieleza sababu hasa ya maamuzi yake hayo.
 
kafanya vema
Nakumbuka tulimwambia hapa wakati tunazungumzia role ya NCCR katika uchaguzi wa Tarime. Na alionekana kukitetea sana chama hicho mfu.

Leo kama kang'amua ni jambo jema. Atafute chama makini ajenge nchi. Ilimradi kisiwe chama cha SISI M........
 
Amekimbia njaa huko.Kama vp atafute chama bora na si bora chama.
 


kafanya vema
Nakumbuka tulimwambia hapa wakati tunazungumzia role ya NCCR katika uchaguzi wa Tarime. Na alionekana kukitetea sana chama hicho mfu.
Leo kama kang'amua ni jambo jema. Atafute chama makini ajenge nchi. Ilimradi kisiwe chama cha SISI M........

kwa hiyo yawezekana kujiuzuru kwake ni sehemu ya long-term impact of 2008 Tarime by-elections?
 
Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Itikadi na Mafunzo ya chama cha NCCR- Mageuzi, leo amejuzuru rasmi uongozi na uanachama wa chama hicho. habari hizi kanithibitishia mwenyewe kwa njia ya simu, ingawa hakunieleza sababu hasa ya maamuzi yake hayo.
Dah, wakuu hapa walimvaa kwelikweli.

Kahangwa, c'om brother. Hebu tuabarishe nini kimekusibu! The last topic nakumbuka ilikuwa challenge kubwa kwako ni ile ya NCCR na Maslahi ya Taifa
 
kafanya vema
Nakumbuka tulimwambia hapa wakati tunazungumzia role ya NCCR katika uchaguzi wa Tarime. Na alionekana kukitetea sana chama hicho mfu.
Leo kama kang'amua ni jambo jema. Atafute chama makini ajenge nchi. Ilimradi kisiwe chama cha SISI M........


Hongera Bwana Kahangwa kwa kuachana na NCCR ingawa sababu unazijua wewe mwenyewe. Suala la kwamba asiingie chama cha SISI M nahisi unaongea CCM. Huo ni uamuzi wake maana hata alivyokwenda NCCR - Mageuzi hukumpangia wewe. Karibu sana Kahangwa ndani ya chama tawala. chama sio kibaya labda kama kuna watendaji wabaya. CCM HOYEEE
 

Hongera Bwana Kahangwa kwa kuachana na NCCR ingawa sababu unazijua wewe mwenyewe. Suala la kwamba asiingie chama cha SISI M nahisi unaongea CCM. Huo ni uamuzi wake maana hata alivyokwenda NCCR - Mageuzi hukumpangia wewe. Karibu sana Kahangwa ndani ya chama tawala. chama sio kibaya labda kama kuna watendaji wabaya. CCM HOYEEE
isije ikawa mmempa ngapingapi, kama kawaida yenu
 
Mhhh.. toka NCCR kwenda CCM?? mbona anakuwa bado yuko pale pale!
 
Dah, wakuu hapa walimvaa kwelikweli.

Kahangwa, c'om brother. Hebu tuabarishe nini kimekusibu! The last topic nakumbuka ilikuwa challenge kubwa kwako ni ile ya NCCR na Maslahi ya Taifa
Invisible
Ni kwa hiari yangu nilijiunga na chama cha NCCR-Mageuzi, na ni kwa hiari hiyo hiyo nimejiuzuru uongozi.Ahsante kwa kuuliza.
 
Invisible
Ni kwa hiari yangu nilijiunga na chama cha NCCR-Mageuzi, na ni kwa hiari hiyo hiyo nimeachana nacho.Ahsante kwa kuuliza.


Una mpango wa kuhamia chama kingine cha siasa, utabaki independent au una mpango wa kuanzisha chama chako? just curious.
 
Una mpango wa kuhamia chama kingine cha siasa, utabaki independent au una mpango wa kuanzisha chama chako? just curious.
Mama,
Sina mpango wowote wa kuanzisha chama, nadhani inawezekana kabisa kulitumikia taifa, kulinda na kutetea maslahi yake bila kuwa kiongozi wa chama. Hata hivyo kuwa kiongozi ndani ya chama cha siasa nako kwafaa hasa hasa kama ni chama kisafi ndani na nje na wewe mwenyewe hali inaruhusu.
 
Mama,
Sina mpango wowote wa kuanzisha chama, nadhani inawezekana kabisa kulitumikia taifa, kulinda na kutetea maslahi yake bila kuwa ndani ya chama. Hata hivyo kuwa ndani ya chama cha siasa nako kwafaa hasa hasa kama ni chama kisafi ndani na nje.

Kama nimekuelewa vizuri, utajiunga na chama ambacho ni kisafi ndani na nje, sio?
 
Hongera Bwana Kahangwa kwa kuachana na NCCR ingawa sababu unazijua wewe mwenyewe. Suala la kwamba asiingie chama cha SISI M nahisi unaongea CCM. Huo ni uamuzi wake maana hata alivyokwenda NCCR - Mageuzi hukumpangia wewe. Karibu sana Kahangwa ndani ya chama tawala. chama sio kibaya labda kama kuna watendaji wabaya. CCM HOYEEE

Ndiyo nilizungumzia SISI M....... nasikia ni pacha wake na huyo mwingine uliyemtaja. Kwa kweli ni kibaya na ubaya ni watendaji ndio. Na kama ujuavyo chama ni watendaji, kama wao ni ovyo na chama ni ovyo. Na hata usiposema Oyeee bado chama ni ovyoooooooo we nyamaza tu msubiri kipigo 2010 mjue kitumbua si andazi.
 
Rwabugiri,
Sijaenda na sina mpango wa kwenda CCM. Aidha, sidhani kwamba CCM na NCCR ni vyama visivyokuwa na tofauti.

Mh Kahangwa, tutakuuliza kauli yako hii, siku tutakapokuona unakabidhiwa kadi na kofia za CCM....
 
Mama,
Sina mpango wowote wa kuanzisha chama, nadhani inawezekana kabisa kulitumikia taifa, kulinda na kutetea maslahi yake bila kuwa ndani ya chama. Hata hivyo kuwa ndani ya chama cha siasa nako kwafaa hasa hasa kama ni chama kisafi ndani na nje.

Sawa mkuu tuko pamoja. Kaa tulia chunguza na uone chama gani kitakufaa hapo baadaye ambacho unadhani ni safi ndani na nje.
Mimi kwa miaka yote hii sina chama lakini naitumikia katika nyanja zote.
OMBI langu usije jaribu kujiunga chama hiki kinaitwa .........jina lingine DEEP GREEN
 
Back
Top Bottom