kafanya vema
Nakumbuka tulimwambia hapa wakati tunazungumzia role ya NCCR katika uchaguzi wa Tarime. Na alionekana kukitetea sana chama hicho mfu.
Leo kama kang'amua ni jambo jema. Atafute chama makini ajenge nchi. Ilimradi kisiwe chama cha SISI M........
Dah, wakuu hapa walimvaa kwelikweli.Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Itikadi na Mafunzo ya chama cha NCCR- Mageuzi, leo amejuzuru rasmi uongozi na uanachama wa chama hicho. habari hizi kanithibitishia mwenyewe kwa njia ya simu, ingawa hakunieleza sababu hasa ya maamuzi yake hayo.
kafanya vema
Nakumbuka tulimwambia hapa wakati tunazungumzia role ya NCCR katika uchaguzi wa Tarime. Na alionekana kukitetea sana chama hicho mfu.
Leo kama kang'amua ni jambo jema. Atafute chama makini ajenge nchi. Ilimradi kisiwe chama cha SISI M........
isije ikawa mmempa ngapingapi, kama kawaida yenu
Hongera Bwana Kahangwa kwa kuachana na NCCR ingawa sababu unazijua wewe mwenyewe. Suala la kwamba asiingie chama cha SISI M nahisi unaongea CCM. Huo ni uamuzi wake maana hata alivyokwenda NCCR - Mageuzi hukumpangia wewe. Karibu sana Kahangwa ndani ya chama tawala. chama sio kibaya labda kama kuna watendaji wabaya. CCM HOYEEE
InvisibleDah, wakuu hapa walimvaa kwelikweli.
Kahangwa, c'om brother. Hebu tuabarishe nini kimekusibu! The last topic nakumbuka ilikuwa challenge kubwa kwako ni ile ya NCCR na Maslahi ya Taifa
Invisible
Ni kwa hiari yangu nilijiunga na chama cha NCCR-Mageuzi, na ni kwa hiari hiyo hiyo nimeachana nacho.Ahsante kwa kuuliza.
Mhhh.. toka NCCR kwenda CCM?? mbona anakuwa bado yuko pale pale!
Mama,Una mpango wa kuhamia chama kingine cha siasa, utabaki independent au una mpango wa kuanzisha chama chako? just curious.
Mama,
Sina mpango wowote wa kuanzisha chama, nadhani inawezekana kabisa kulitumikia taifa, kulinda na kutetea maslahi yake bila kuwa ndani ya chama. Hata hivyo kuwa ndani ya chama cha siasa nako kwafaa hasa hasa kama ni chama kisafi ndani na nje.
Hongera Bwana Kahangwa kwa kuachana na NCCR ingawa sababu unazijua wewe mwenyewe. Suala la kwamba asiingie chama cha SISI M nahisi unaongea CCM. Huo ni uamuzi wake maana hata alivyokwenda NCCR - Mageuzi hukumpangia wewe. Karibu sana Kahangwa ndani ya chama tawala. chama sio kibaya labda kama kuna watendaji wabaya. CCM HOYEEE
Rwabugiri,
Sijaenda na sina mpango wa kwenda CCM. Aidha, sidhani kwamba CCM na NCCR ni vyama visivyokuwa na tofauti.
Mama,
Sina mpango wowote wa kuanzisha chama, nadhani inawezekana kabisa kulitumikia taifa, kulinda na kutetea maslahi yake bila kuwa ndani ya chama. Hata hivyo kuwa ndani ya chama cha siasa nako kwafaa hasa hasa kama ni chama kisafi ndani na nje.