ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,023
- 49,666
- Thread starter
- #481
Bora umewasaidia mkuu tunataka picha sio porojo
Bora umewasaidia mkuu tunataka picha sio porojo
Hzi picha zimeinock out Jombe, naona Njombe ina jengo moja Tu zuri la JD hotel, watu wa Njombe mnakwama wapi
View attachment 1177198
Day to Day Hotel Kibena NjombeView attachment 1177201View attachment 1177202
Hospitali ya MkoaView attachment 1177204View attachment 1177205
Halmashauri ya Njombe
Kimsingi baada ya mwanza Kwa kanda ya ziwa Bukoba ndo ya pili halafu kahama ndo inafataView attachment 1177198
Day to Day Hotel Kibena NjombeView attachment 1177201View attachment 1177202
Hospitali ya MkoaView attachment 1177204View attachment 1177205
Halmashauri ya Njombe
Ahsante boss, maana kuna tomaso feki humu, alete za kahama sasaDosmeza HotelView attachment 1177152
Ilikuwa Milimani Motel zamani miaka ya tisini Sasa imekuwa chuo View attachment 1177155
FM Hotel front viewView attachment 1177156
FM Hotel back viewView attachment 1177157
Agreement Hotel kabla ya kuongeza jengo la piliView attachment 1177159
Agreement Hotel jengo la pili View attachment 1177160
Glory HotelView attachment 1177161
JD HotelView attachment 1177162
Zamani iliitwa Chani Hotel kwasasa inamilikiwa na Mwanyika aliyekuwa acacia.Sijalipata jina lake.Picha zote hizi zipo Google search View attachment 1177162
View attachment 1177150
Maandunje watu wafupi hata wakongo wana afadhaliSema ulishindwa ushindani wa biashara nani akuroge kwa lipi?
Afu kama ulifuata wanawake weupe umepotea njia huku kuna black beuty women ndio wengi kuliko weupo yaani mikoa ya kusini ndio ilivyo hivyo
Mkuu leta aerial view ya Njombe, kama huo ni uchafuPicha gani hizi unaweka mkuu yaani hakuna kitu cha maana huko hadi unaweka uchafu huu wa nyumba za uani? Kuwa serious kidogo
Hahaha eti tunataka picha sio porojo huku toka ugungue uzi hujaweka hata moja kazi kusogoa tuBora umewasaidia mkuu tunataka picha sio porojo
Yani title yake ni hotel wewe unaiita guest house are you insane?.B
Buzwagi view hotel n sio Hotel Mzee baba
Hiyo nnguest house tu yenye bar na restaurant.Nimelala hapo Mara kibao tembea uone hotel.Ukifika Mafinga,Njombe na Makambako utaziona nyingine Sana
Nimeziangalia Google zote, sasa kwanini umeleta picha za chuo?Dosmeza HotelView attachment 1177152
Ilikuwa Milimani Motel zamani miaka ya tisini Sasa imekuwa chuo View attachment 1177155
FM Hotel front viewView attachment 1177156
FM Hotel back viewView attachment 1177157
Agreement Hotel kabla ya kuongeza jengo la piliView attachment 1177159
Agreement Hotel jengo la pili View attachment 1177160
Glory HotelView attachment 1177161
JD HotelView attachment 1177162
Zamani iliitwa Chani Hotel kwasasa inamilikiwa na Mwanyika aliyekuwa acacia.Sijalipata jina lake.Picha zote hizi zipo Google search View attachment 1177162
View attachment 1177150
Sasa hapo kuna uzuri gani mkuu,mandhari gani iko Iringa kuizidi mbeya? Hamna kitu hapo
sawa turudi kwenye hoja ya msingi, lete picha za maana za kahama, sio uchafu mliotuwekea hapoMaandunje watu wafupi hata wakongo wana afadhali
Kahama kali nimeona 2 tu. Nyingine uchafu tu kwa kulinganisha na njombe, harafu hapo tumeonesha hotel tu, bado viwanda, mashamba ya fursa, harafu kwanini watu wa huko ni maskini wa kutupwa. Mnakwama wapi? Elimu duni, vyoo hakuna, mnakimbilia vichakani hadi zama hizi, mnanufaika vp na mashimo yenu hayoNimeziangalia Google zote, sasa kwanini umeleta picha za chuo?
Yani Njombe kuna hotel hizo tu Agreement, Glory , JD, na Fm hotel basi hakuna cha ziada.
.
Kahama hakuna hotel nyingi za majengo marefu ziko chache ila kaliii
uzuri wake hao wafupi ndo wanaoiteka kariakoo sasa hv, wana akili hatariii, kuliko nyie mangongoti harafu ma vilaza, huku taaluma ipo vzr piaMaandunje watu wafupi hata wakongo wana afadhali
Ni kweli ndege zipo huko, but kwa umaskini wa wenyeji sidhani km kuna mzawa anapanda hizo ndege zaidi ya treni. Hizo zinaleta wakinga na wachaga kija kubeba madini na kusepa nazo na kuwaachia vumbi lenu na umaskini wenu, ebu wahi kachunge ndama uko muda umefikaMkuu leta aerial view ya Njombe, kama huo ni uchafu
NSSF Mafao House Kahama
View attachment 1177248
Precision air route ya Kahama, sjui huko Njombe kulikon
View attachment 1177252
Golden view hotel Kahama
View attachment 1177262
Wewe binafsi umeweka picha gani za njombe au huna bando nikupe?sawa turudi kwenye hoja ya msingi, lete picha za maana za kahama, sio uchafu mliotuwekea hapo