Hizi picha mbaya mbaya za Mbeya usiwe unaleta zinaboa
Mwanza cc kuna mradi wa kingo za mto mirongo sijui nao utakuwemo au wameuchinjilia baharini... Hii nchi ngumu sanaNdio ni Barabara tuu Kwa package one,masoko na Stand wanatangaza tender mwezi wa 10.
Naona Mwanza CC& Ilemela imependelewa kweli kweli, Barabara tuu ni km 26.8 Bado masoko yanakuja,mitaro inakuja kwenye package ya II
Tulistahili kupata angalau kilometa 50 za kutufuta machozi, Ilemela 25km na Mwanza 25kmNdio ni Barabara tuu Kwa package one,masoko na Stand wanatangaza tender mwezi wa 10.
Naona Mwanza CC& Ilemela imependelewa kweli kweli, Barabara tuu ni km 26.8 Bado masoko yanakuja,mitaro inakuja kwenye package ya II
Kwa kuwa nyie ndio Tanzania kwingine ni Burundi au siyo?Tulistahili kupata angalau kilometa 50 za kutufuta machozi, Ilemela 25km na Mwanza 25km
Soma kwenye bandiko,mifereji mikubwa ipoMwanza cc kuna mradi wa kingo za mto mirongo sijui nao utakuwemo au wameuchinjilia baharini... Hii nchi ngumu sana
Lakuvunda halina ubani bro😂😂 atapata wapi picha nzuri kila sehemu ni mazizi ya ng'ombe.Hizi picha mbaya mbaya za Mbeya usiwe unaleta zinaboa
Punguza jazba Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa na ukiangalia hatutendewi haki Mwanza jiji inapata 14km hii ni haki kweli? Na mji kama tunduma nawenyewe umepata kilometa 14 sawa na Mwanza cc, huoni sio sawa.Kwa kuwa nyie ndio Tanzania kwingine ni Burundi au siyo?
Kwenye bandikk wamesema mitaro pande zote za barabara lakini sijaona mkataba wa kujenga kingo za mto mirongo kama tulivyoambiwa ambazo ni zaidi ya 9km.Soma kwenye bandiko,mifereji mikubwa ipo
Kumbuka Dar ilipokea bilion 800+ zaidi ya kilometa 800 za lami sisi kupata kilometa 14 kwa Mwanza cc na 14 kwa Ilemela unaona nongwa.Kwa kuwa nyie ndio Tanzania kwingine ni Burundi au siyo?
Dar ni exceptional.Dodoma inaenda kuwa exceptional nyingine so nyie kina Mwanza na Mbeya jiongezeniKumbuka Dar ilipokea bilion 800+ zaidi ya kilometa 800 za lami sisi kupata kilometa 14 kwa Mwanza cc na 14 kwa Ilemela unaona nongwa.