Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Lakuvunda halina ubani bro😂😂 atapata wapi picha nzuri kila sehemu ni mazizi ya ng'ombe.
Nzuri zipo kama zote kama hizi hapa 👇
expediav2-9953133-00e9e0-525955.jpg
1691895271191.jpg
Screenshot_2023-07-27-17-32-32-314_com.google.android.apps.maps.jpg
that_mbeya_guy_1680354232894234.jpg
that_mbeya_guy_1679744755128476.jpg
 
Punguza jazba Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa na ukiangalia hatutendewi haki Mwanza jiji inapata 14km hii ni haki kweli? Na mji kama tunduma nawenyewe umepata kilometa 14 sawa na Mwanza cc, huoni sio sawa.
Jiji la pili Kwa Ukubwa mdomoni ila sio Kwa vitu vya msingi ndio maana mnapuuzwa 😂😂
 
Dar ni exceptional.Dodoma inaenda kuwa exceptional nyingine so nyie kina Mwanza na Mbeya jiongezeni
Hii kauli yenu huwa nataman niunde serikali nyingine, tuwaache na ujinga na upumbavu wenu wa kuabudu dar, siku mkijengewa zahanati na madarasa mawili mnaona kama hisani wakati ni haki yenu, endeleeni kuitumikia Dar na dodoma, sisi huu ujinga tunakaribia kuumaliza.
 
Hii kauli yenu huwa nataman niunde serikali nyingine, tuwaache na ujinga na upumbavu wenu wa kuabudu dar, siku mkijengewa zahanati na madarasa mawili mnaona kama hisani wakati ni haki yenu, endeleeni kuitumikia Dar na dodoma, sisi huu ujinga tunakaribia kuumaliza.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ingia msituni Jamaa tuko nyuma Yako 😁😁

Yanaboa sana haya majamaa.
 
Tunapuuzwa na serikali ya kishamba, yenye mawazo ya kizumbukuku yasiyokuwa na tija, failure state.
Serikali zote,kama Mwendazake alishindwa kuibadili Mwanza ndio imemkata,zile pesa za mashetehe badala aamuru zikajenge Mwanza alikuwa anakomaa na Dar tuu.

Nichagueni niwe Rais nikomeshe tabia ya upendeleo Kwa kuja na sera nzuri ya mgawanyo wa mapato
 
Serikali zote,kama Mwendazake alishindwa kuibadili Mwanza ndio imemkata,zile pesa za mashetehe badala aamuru zikajenge Mwanza alikuwa anakomaa na Dar tuu.

Nichagueni niwe Rais nikomeshe tabia ya upendeleo Kwa kuja na sera nzuri ya mgawanyo wa mapato
Serikali ya majimbo ndio tiba ya huu ujinga wa hii nchi.
 
Serikali ya majimbo ndio tiba ya huu ujinga wa hii nchi.
Hata bila Majimbo,inabakia Mikoa hivi hivi ila mnaweka kanuni kama population size,nature ya landmass,GDP contribution,social factors,size of landmass nk

Factors hizo mnazipa weights kadhaa so ndio zinatumika kufanya allocation ya resources zile ambazo Serikali Kuu inachangia,mipango ya mikoani kwenu mnaamua wenyewe.
 
Back
Top Bottom