Sasa mkuu lindi imeingiaje hapa bhana argh🤣🤣. Kwani imewakosea nini🤣🤣🤣Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa Njombe una matatizo.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 itazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea