Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Maskini akimbie aende wapi? Ana nauli?
Pambaneni mfike hapa kwanza...

Bukoba iko mbali sana....
1691061834376.jpg
 
Naona Bukoba iko ligi na majiji....
Mkoa maskini zaidi wa kipato lakin naona ina watu wengi wenye uwezo wa kupanda ndege ....

Na bukoba hakuna utalii na nauli ndo kubwa zaidi kwa safari zote nchi hii


Bukoba mji wenye watu 150000 lakin una abiria wote hao wa ndege
Kwenye nauli kubwa umetupiga

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
"JIJI LINA VUMBI, SUTI HAZIVALIKI" DKT. TULIA ALIVYOOMBA KIAINA UJENZI WA MIUNDOMBINU KWA MAKAMU WA RAIS.

Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dkt Tulia Ackson amemuomba kiaina Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ujenzi wa miundombinu ya barabara za Jiji la Mbeya na soko la machinga eneo kilipojengwa kiwanda cha kusindika mbogamboga na matunda.

Akitoa ombi hilo mbele ya Makamu wa Rais, Dkt Tulia amesema Jiji la Mbeya Lina kilomita zaidi ya 400 ambazo kwa Sasa zina vumbi, na kua kikwazo kwa wananchi wa Jiji hilo, hivyo ujenzi wa miundombinu utasaidia wafanyabiashara na wasindikaji kufanya shughuli zao nyakati zote.

Cc @enocksaimon
#WasafiDigital
 
Back
Top Bottom