Kiukweli Majambako naifahamu vzr Sana kimaendeleo ipo nyuma Sana kwa Kahama kuanzia hadhi ya nyumba za kulala wageni guest house,benki kubwa za kibiashara,uwepo was supermarket ukubwa wa eneo lakini Makambako imeshamiri biashara za pombe maeneo Kama capetown Sarcillo three zero one ,pia hotel za Makambako zinahadhi ndogo wamiliki wakubwa ni waking lakini Kahama Kuna hotel kubwa Kama Kahama hotel ,submarine ambazo zote Zina swimming pool vilevile Kahama inahadhi ya mainispaa wakati Makambako mamlaka ya mji mdogo pote napafahamu vzr mwenye uelewa tofauti naomba kuwasilisha