Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Mbeya ni sehemu ya malawi kama sio Zambia.Uzuri kasema mbeya...sio Tz...
Maana Tz hii hakuna shule yenye mabasi Bora na ya kisasa kama Kaizirege na mwenzake Kemebos...
Bado na Adolph kolping Bukoba ina mabasi mazuri kushinda hio shule yako

