Sisi tuliwapa maeneo tajiri ya lamadi, busega, tulimega kutoka Magu, bila hayo maeneo simiyu ingekuwa kama katavi kwa umasikini na bado naona ni mkoa masikini kaliba ya katavi na lindi.Simiyu inatuangusha sana ....huo mkoa haukujiandaa urudishwe Mwanza
Na huu ndo ukweli hiv mkoa wa pwani wakazi wake walivyo kaa kaa unaweza linganisha hata hali ya maisha ya wakazi wa muleba?Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
Achana na madata ya kupikwa ya hii nchi ya mazombie, hizo takwimu nikizoweka mimi ndio sahihi hazina mbamba mbamba wala nyenye nyenyeNa huu ndo ukweli hiv mkoa wa pwani wakazi wake walivyo kaa kaa unaweza linganisha hata hali ya maisha ya wakazi wa muleba?
Hebu angalia hii mitaa ya bukoba...Kagera miaka ya 2010 kurudi nyuma ilikuwa haikosi top ten kwenye mikoa yenye maisha bora...leo hii 2023 eti ndo maskini zaidi...View attachment 2682791
Kote huku Chanzo ni ushirikinaHapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
Ni masikini sababu ya uwepo wa GamboshiSimiyu inatuangusha sana ....huo mkoa haukujiandaa urudishwe Mwanza
Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
We Kwa akili Yako Rukwa ni Maskini kweli? Mikoa Mingi hapo naifahamu kasoro Kigoma na Lindi .Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
Ban ...inajua kukukomesha
Acha uchonganishi Mimi sio huyo aliyekula ban bwege weweBan ...inajua kukukomesha
@mods ...huyu hapa kabadili username
Ni nani sasa ..ni nyani au ...haya ulikuwa umepotelea wapi miezi hyo ..ko mnafanyiana zamu na ChoiceVariable ...Acha uchonganishi Mimi sio huyo aliyekula ban bwege wewe
Hujakoma kutukana .ule ban nyingine TenaAcha uchonganishi Mimi sio huyo aliyekula ban bwege wewe
Simjui Sasa choice na fallacy wapi na wapi we Jamaa.Wacha umbea na uchonganishi.😂😂Ni nani sasa ..ni nyani au ...haya ulikuwa umepotelea wapi miezi hyo ..ko mnafanyiana zamu na ChoiceVariable ...