Kutokana na ongezeko la makazi na vyombo vya moto vipande vya makambako hadi mtwango Km 30 na makambako hadi ilembula km 30 pia kwa upande wa njombe tc ni kibena hadi nundu km15 tanroad mkoa wameamua kufunga taa za kuongozea magari maeneo mbalimbali kwenye vipande hivi
Mambo ni fire hospital ya inuka ambayo ipo 25km from makambako round about ndo hospital kubwa ya mambo ya viungo na utengamavu kwa watoto nyanda za juu kusini ko mkoa wa njombe upo full Kila idara now inazidi kutanuliwa zaidi baada ya kuwa na madaktari bingwa kutoka nje
SHINYANGA: Wazee kutoka Manispaa ya Kahama wamelalamika kuwa wenzao wamekuwa wakiuawa na Watoto wao wanapokataa kugawa Urithi huku wakitengenezewa mazingira ya Vifo vya Imani za Kishirikina
Kahama imeripotiwa kuwa na Wazee 6,692 huku 50% wakiishi maeneo ya pembezoni ambako ndipo kunafanyika Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia pamoja na Mauaji
Takwimu za Jeshi la Polisi za Mwaka 2020/22 zinaonesha kulikuwa na matukio zaidi ya 150 ya Uvunjaji wa Haki za Wazee yaliyoripotiwa, 16 ya Unyanyasaji wa Kingono na 71 ya Mauaji kwa Imani za Kishirikina