ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,413
- 85,225
- Thread starter
-
- #16,681
Huu mradi wa Igawa-Tunduama ni zaidi ya sh.Tilioni 1. peke yake na Kwa taarifa Yako kutakuwa na Kambi 4 Kwa pamoja,sections zote ujenzi utakuwa unaendelea..
Watu wa Mwanza mnatia huruma sana awamu hii 😁😁😁😁Usafiri Bora .. stendi boraView attachment 2659938View attachment 2659939
Usafiri Bora .. stendi boraView attachment 2659938View attachment 2659939
Hiyo ni mtwango ya mufindi sio njombeMk boy Mtwango ipi inayozungumziwa? Ya Njombe au ipo nyingine?
Pia Kuna Barabara ya Nyololo Mtwango nayo inajengwa Kwa lami ,ndio ipi hasa? Mbona zinanichanganya?
Mk boy Mtwango ipi inayozungumziwa? Ya Njombe au ipo nyingine?
Pia Kuna Barabara ya Nyololo Mtwango nayo inajengwa Kwa lami ,ndio ipi hasa? Mbona zinanichanganya?
Okie kumbe Kuna Mtwango mbili,ndio hapo nilikuwa sijui.Hiyo ni mtwango ya mufindi sio njombe
Hapana HiYo mtwango ni eneo ambalo ni junction ya Barabara ya mafinga mgololo na nyororo ndipo zinapo kutanaOkie kumbe Kuna Mtwango mbili,ndio hapo nilikuwa sijui.
Ila hii ya Nyololo inatoboa mtwango ya Njombe? View attachment 2660406
Kwa hiyo Ile Mtwango ya Njombe hakuna Barabara yeyote pale?HHa
Hapana HiYo mtwango ni eneo ambalo ni junction ya Barabara ya mafinga mgololo na nyororo ndipo zinapo kutana
Mambo ya kawaida sana hayo ...hizo infrastructure hata singida wanaweza kujengewa lakini nyie miaka elfu sabini ijayo hamtaweza kupata vitu kama hivHuu mradi wa Igawa-Tunduama ni zaidi ya sh.Tilioni 1. peke yake na Kwa taarifa Yako kutakuwa na Kambi 4 Kwa pamoja,sections zote ujenzi utakuwa unaendelea..
On top of that kutakuwa na dedicated lanes maalumu Kwa Malori tuu
Pia Waziri amesema Watafikiria kuweka Bypass nyingine Songwe(Vwawa) na Tunduma
Tuma upya picha haifungukiMikdde Kitombile and cos someni hizi specifications Kwa sauti harafu mvute picha ya Barabara ya Sam Nujoma.View attachment 2660503View attachment 2660504
😂😂😂😂 Ndio umebakia kujifariji huku unaumia 🤣🤣Mambo ya kawaida sana hayo ...hizo infrastructure hata singida wanaweza kujengewa lakini nyie miaka elfu sabini ijayo hamtaweza kupata vitu kama hivView attachment 2660507View attachment 2660508
Kwenda zako huko omba bando upewe yaani attachment za screenshot zisifunguke? 😁😁Tuma upya picha haifunguki
Mwambie mod arekebishe app sioni chochoteKwenda zako huko omba bando upewe yaani attachment za screenshot zisifunguke?
Mwambie mod arekebishe app sioni chochoteView attachment 2660511
Toa ushamba hapa ....kutangulia si kufika ....plan kama hizo Mwanza zimekuwepo ...Ndio umebakia kujifariji huku unaumia
Copy na upaste maelezo...Kwan lazima screen shot
Copy na upaste maelezo...Kwan lazima screen shot
Sasa mbona nni mambo ya kawaida sana hamna kipya
Pale hamna lazima upite makambaKo mtwango ipo inayo kwenda igwachanya na ya lupembeKwa hiyo Ile Mtwango ya Njombe hakuna Barabara yeyote pale?
Kwamba hakuna hata Barabara zingine za kufika Njombe kutoka Mafinga Hadi upite Makambako?