Kahama VS Njombe/Mafinga

Upo Sahihi naona weng wameshauri hivo na wengine wakadai ni bora ijengwe hata by pass kutoka kibena hadi stand mji mwema
 
Mk boy Mtwango ipi inayozungumziwa? Ya Njombe au ipo nyingine?
Pia Kuna Barabara ya Nyololo Mtwango nayo inajengwa Kwa lami ,ndio ipi hasa? Mbona zinanichanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…