Naona tarura wamefanya Yao makambako tc Kila Kona ni lami tu hapo ni around uwanja wa aman makambako kwa kweli wameitendea haki makambako kujenga km 10 kwa mpigo naona Sasa CBD wamemaliza inaanza Kaz ya ku connect na kata za pembezoni Sasa na hii imesaidia mji kuchangamka zaidi kuwa kibiashara zaidi
Nitaleta kaka sema Kuna mishe zilini keep busy kidogo afu Ile ishu ya chuo kikuu Leo ndo imejadiliwa kuwa kijengwe njombe afu bandari makambako ko Kaz ya ujenzi soon inaanza
Kati ya mizigo iliyosafirishwa mwaka huu, 38.2% imesafirishwa na kampuni binafsi mbili zilizoingia mkataba na TAZARA kutumia njia ya reli kwa kulipia.
Ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi unaongeza mapato, unalinda ajira za Watanzania na kukuza biashara.
#MamaYukoKazini