Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kagera inatia huruma
 

Attachments

  • Screenshot_20230604-085518.png
    Screenshot_20230604-085518.png
    47.4 KB · Views: 9
Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...

Yaan anasema elimu ni duni halafu mkoa una wasomi wengi...sasa wasomi walisomea mitini au vip? Nimeishia hapo hapo....


Hata matatizo ya mkoa wa kagera hayaelewi yupo maskini maskini....

Eti hawatumii kipato cha 1000 kwa siku...kwa hiyo kagera watu hawali wanakufaa njaa?
Walishawahi waomba hela ya kula au chakula....





Tena bora mkoa uzidi kuwa maskini ili tuzidi kuwanyonya katika sekta zote...yaan mkoa ni wa pili kwa shule nyingi nchini halafu anasema mkoa hauna huduma ya shule?
Kwa sasa ndo barabara ya mwisho ya lami inajengwa kuunganisha kyerwa kutoka ngara...
 
ChoiceVariable
Polo lingine Hili hapa
Mwanza to Dar ...nachowakubali Kanda ya ziwa ni kuigana ..soon tutajaza G7 Za kutosha huku
20230603_153539.jpg
20230603_154502.jpg
 
Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...

Yaan anasema elimu ni duni halafu mkoa una wasomi wengi...sasa wasomi walisomea mitini au vip? Nimeishia hapo hapo....


Hata matatizo ya mkoa wa kagera hayaelewi yupo maskini maskini....

Eti hawatumii kipato cha 1000 kwa siku...kwa hiyo kagera watu hawali wanakufaa njaa?
Walishawahi waomba hela ya kula au chakula....





Tena bora mkoa uzidi kuwa maskini ili tuzidi kuwanyonya katika sekta zote...yaan mkoa ni wa pili kwa shule nyingi nchini halafu anasema mkoa hauna huduma ya shule?
Kwa sasa ndo barabara ya mwisho ya lami inajengwa kuunganisha kyerwa kutoka ngara...
Watu wanatumia mkoa wa kagera kujiinua kisiasa, kila nikipita mkoa wa kagera naona watu wanaishi maisha mazuri tu sasa nashindwa kujua huo umaskini unatoka wapi?
 
Watu wanatumia mkoa wa kagera kujiinua kisiasa, kila nikipita mkoa wa kagera naona watu wanaishi maisha mazuri tu sasa nashindwa kujua huo umaskini unatoka wapi?
Sasa kila mtu apambane yeye na familia yake....
Nchi siasa nyingi ndo maana Tanzania ni Maskini wa Kutupwa....


Watu wa kagera wanatambua hilo ndo maana wengi wamekimbia hii nchi kitambo na wengine wanajijenga kibinafsi kama huyu kijana mmoja wapo...
Screenshot_20230604-105547.jpg
Screenshot_20230604-105534.jpg
Screenshot_20230604-105539.jpg
 
Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...

Yaan anasema elimu ni duni halafu mkoa una wasomi wengi...sasa wasomi walisomea mitini au vip? Nimeishia hapo hapo....


Hata matatizo ya mkoa wa kagera hayaelewi yupo maskini maskini....

Eti hawatumii kipato cha 1000 kwa siku...kwa hiyo kagera watu hawali wanakufaa njaa?
Walishawahi waomba hela ya kula au chakula....





Tena bora mkoa uzidi kuwa maskini ili tuzidi kuwanyonya katika sekta zote...yaan mkoa ni wa pili kwa shule nyingi nchini halafu anasema mkoa hauna huduma ya shule?
Kwa sasa ndo barabara ya mwisho ya lami inajengwa kuunganisha kyerwa kutoka ngara...
Hili jambo la mkoa wa Kagera naona liko kisiasa zaidi.

Kagera ni miongoni mwa mikoa yenye makazi bora vijijini na mjini.

Miundombinu ya barabara iko vizuri ukilinganisha na mikoa mingine.

Upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijijini ni wa uhakika, wakazi wake hawatumii maji yanayotumiwa na mifugo kama mikoa mingine (hawachangii maji na mifugo).

Najiuliza swali;bidhaa zinazoletwa na meli kupitia Ziwa Victoria na kushushwa bandari ya Kemondo na Bukoba mjini walaji wake ni akina nani?

Kama hakuna uzalishaji meli zinaleta bidhaa za nini, na zinaondoka na bidhaa kutoka wapi? Wakazi wa mkoa wa Kagera wanazalishaji ndizi, maharage, parachichi, kahawa n.k na zote hizi zinasafirishwa kupitia Ziwa Victoria kwenda mikoani kupitia Mwanza, sasa kwanini kipato kionekane ni kidogo kwa mwananchi?

Kama hakuna Uzalishaji mbona serikali inazidi kuongeza meli za kubeba mizigo na abiria katika ziwa Victoria
 
Hili jambo la mkoa wa Kagera naona liko kisiasa zaidi.

Kagera ni miongoni mwa mikoa yenye makazi bora vijijini na mjini.

Miundombinu ya barabara iko vizuri ukilinganisha na mikoa mingine.

Upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijijini ni wa uhakika, wakazi wake hawatumii maji yanayotumiwa na mifugo kama mikoa mingine (hawachangii maji na mifugo).

Najiuliza swali;bidhaa zinazoletwa na meli kupitia Ziwa Victoria na kushushwa bandari ya Kemondo na Bukoba mjini walaji wake ni akina nani?

Kama hakuna uzalishaji meli zinaleta bidhaa za nini, na zinaondoka na bidhaa kutoka wapi? Wakazi wa mkoa wa Kagera wanazalishaji ndizi, maharage, parachichi, kahawa n.k na zote hizi zinasafirishwa kupitia Ziwa Victoria kwenda mikoani kupitia Mwanza, sasa kwanini kipato kionekane ni kidogo kwa mwananchi?

Kama hakuna Uzalishaji mbona serikali inazidi kuongeza meli za kubeba mizigo na abiria katika ziwa Victoria
Na mwezi wa Nane MV Mwanza inakuwa tested kwenda Bukoba.....
Bado hii mv Victoria haitoshi...

Watu wanauza hizo ndizi ambao karibia 69% ya ndizi zote nchini zinatoka mkoa huu wa kagera

Wanauza ndizi wanajenga nyumba bora na kusomesha watoto wao...hebu angalia Concentration ya English medium huko Bukoba hadi vijijini kabisa...

HALAFU MTU MMOJA ANASEMA WASOMI NI WENGI NA WAKATI HUO HUO ELIMU NI DUNI...sasa wasomi walisomea kwenye ndizi au vip
images%20(31).jpg
 
Na mwezi wa Nane MV Mwanza inakuwa tested kwenda Bukoba.....
Bado hii mv Victoria haitoshi...

Watu wanauza hizo ndizi ambao karibia 69% ya ndizi zote nchini zinatoka mkoa huu wa kagera

Wanauza ndizi wanajenga nyumba bora na kusomesha watoto wao...hebu angalia Concentration ya English medium huko Bukoba hadi vijijini kabisa...

HALAFU MTU MMOJA ANASEMA WASOMI NI WENGI NA WAKATI HUO HUO ELIMU NI DUNI...sasa wasomi walisomea kwenye ndizi au vip View attachment 2645966
Sijui wanatumia vigezo gani kujua kiwango cha umasikini kwa mkoa wa Kagera.

Hii ni sumu ambayo imepandikizwa kwa watu wengi ,wengine wanasema tu pasipo kufika na kujionea hali halisi.

Kitu kingine mbona huu mkoa ndio watu wanaupigia kelele kuhusu umasikini kuliko mikoa mingine, na hapo hapo hatuoni jitihada zozote zikifanyika kuondoa huo umasikini?

Sababu za umasikini wanazitaja ambazo ni kipato kwa kila mwananchi kulinganisha na mikoa mingine, wakati huo huo wanaongoza kuzalisha bidhaa nyingi hapa Tanzania, mapato yao yanakwenda wapi?

Kama sababu zinajulikana, kwanini wasije na mipango mkakati/mikakati kuondoa huo umasikini? Kama hawana maana yake hakuna tatizo au matatizo yao ni sawa na ya mikoa mingine.

Sababu nyingine ya umasikini eti ni stend ya mkoa, zimetolewa pesa kujenga,lakini ni pesa kidogo bilioni moja itajenga kweli?Mikoa mingine mbona wanapewa kuanzia 10b hadi 20?

Labda mtu aseme maendeleo ya mkoa wa Kagera yanatakiwa kuwa makubwa zaidi yalivyo sasa hivi kwa kuwa kuna rasilimali nyingi na ukanda mzuri wa kuwa karibu na nchi jirani nne.

Ila hizi blah blah nyingine za umasikini,stend na soko,ukabila nazipinga.
 
Back
Top Bottom