Naona hata mkoa wa njombe Wana change wanaweka za zege kuanzia kwenye kituo Cha kupozea umeme makambako
ONguzo za zege ,Rukwa View attachment 2644556View attachment 2644557
ONguzo za zege ,Rukwa View attachment 2644556View attachment 2644557
🤣🤣🤣
Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...



Nimeishia hapo hapo....VIP CLASS
Watu wanatumia mkoa wa kagera kujiinua kisiasa, kila nikipita mkoa wa kagera naona watu wanaishi maisha mazuri tu sasa nashindwa kujua huo umaskini unatoka wapi?Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...
Yaan anasema elimu ni duni halafu mkoa una wasomi wengi...sasa wasomi walisomea mitini au vip?Nimeishia hapo hapo....
Hata matatizo ya mkoa wa kagera hayaelewi yupo maskini maskini....
Eti hawatumii kipato cha 1000 kwa siku...kwa hiyo kagera watu hawali wanakufaa njaa?
Walishawahi waomba hela ya kula au chakula....
Tena bora mkoa uzidi kuwa maskini ili tuzidi kuwanyonya katika sekta zote...yaan mkoa ni wa pili kwa shule nyingi nchini halafu anasema mkoa hauna huduma ya shule?
Kwa sasa ndo barabara ya mwisho ya lami inajengwa kuunganisha kyerwa kutoka ngara...
Sasa kila mtu apambane yeye na familia yake....Watu wanatumia mkoa wa kagera kujiinua kisiasa, kila nikipita mkoa wa kagera naona watu wanaishi maisha mazuri tu sasa nashindwa kujua huo umaskini unatoka wapi?
Nilishakwambia Mbeya wanaanza nyie mnafuata,Ngasere High Class yupo Mbeya Dom kitambo tuu..VIP CLASS
... dodoma to mwanza hamna mabatuView attachment 2645521
Zuberi hana jipya yupo kitambo tuu , chuma hii hapa 👇ChoiceVariable
Polo lingine Hili hapa
Mwanza to Dar ...nachowakubali Kanda ya ziwa ni kuigana ..soon tutajaza G7 Za kutosha hukuView attachment 2645523View attachment 2645524
VIP
Hili jambo la mkoa wa Kagera naona liko kisiasa zaidi.Huoni jamaa alivyo kichaa kuchikilia takwimu ambazo nazo hazielewi...
Yaan anasema elimu ni duni halafu mkoa una wasomi wengi...sasa wasomi walisomea mitini au vip?Nimeishia hapo hapo....
Hata matatizo ya mkoa wa kagera hayaelewi yupo maskini maskini....
Eti hawatumii kipato cha 1000 kwa siku...kwa hiyo kagera watu hawali wanakufaa njaa?
Walishawahi waomba hela ya kula au chakula....
Tena bora mkoa uzidi kuwa maskini ili tuzidi kuwanyonya katika sekta zote...yaan mkoa ni wa pili kwa shule nyingi nchini halafu anasema mkoa hauna huduma ya shule?
Kwa sasa ndo barabara ya mwisho ya lami inajengwa kuunganisha kyerwa kutoka ngara...



Hayo mabati yenu yanapaki wapi

Kama kawaida mnapita tulikotoka
Sasa inahusiana vip ..Kama kawaida mnapita tulikotoka View attachment 2645846View attachment 2645847



Mwanza train haipiti kwenye kadaraja inapita kwenye viaduct ya 1.5km.Kama kawaida mnapita tulikotoka View attachment 2645846View attachment 2645847
Na mwezi wa Nane MV Mwanza inakuwa tested kwenda Bukoba.....Hili jambo la mkoa wa Kagera naona liko kisiasa zaidi.
Kagera ni miongoni mwa mikoa yenye makazi bora vijijini na mjini.
Miundombinu ya barabara iko vizuri ukilinganisha na mikoa mingine.
Upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijijini ni wa uhakika, wakazi wake hawatumii maji yanayotumiwa na mifugo kama mikoa mingine (hawachangii maji na mifugo).
Najiuliza swali;bidhaa zinazoletwa na meli kupitia Ziwa Victoria na kushushwa bandari ya Kemondo na Bukoba mjini walaji wake ni akina nani?
Kama hakuna uzalishaji meli zinaleta bidhaa za nini, na zinaondoka na bidhaa kutoka wapi? Wakazi wa mkoa wa Kagera wanazalishaji ndizi, maharage, parachichi, kahawa n.k na zote hizi zinasafirishwa kupitia Ziwa Victoria kwenda mikoani kupitia Mwanza, sasa kwanini kipato kionekane ni kidogo kwa mwananchi?
Kama hakuna Uzalishaji mbona serikali inazidi kuongeza meli za kubeba mizigo na abiria katika ziwa Victoria![]()
Sijui wanatumia vigezo gani kujua kiwango cha umasikini kwa mkoa wa Kagera.Na mwezi wa Nane MV Mwanza inakuwa tested kwenda Bukoba.....
Bado hii mv Victoria haitoshi...
Watu wanauza hizo ndizi ambao karibia 69% ya ndizi zote nchini zinatoka mkoa huu wa kagera
Wanauza ndizi wanajenga nyumba bora na kusomesha watoto wao...hebu angalia Concentration ya English medium huko Bukoba hadi vijijini kabisa...
HALAFU MTU MMOJA ANASEMA WASOMI NI WENGI NA WAKATI HUO HUO ELIMU NI DUNI...sasa wasomi walisomea kwenye ndizi au vip View attachment 2645966