Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwan wazir wa Ujenzi ni nan?, automatically sector ya Ujenzi wanamfuata yeye Tanzania bhana
 
Hivi mtwango ipo Katikati ya Njombe na Makambako au?
Hii ni ya mufindi dc Unaingilia nyororo inaamaana ndo junction na wanayojenga kutoka mafinga kwenda mgororo hii ni shortcut ya wakazi wa mufindi kwenda makambako Haina haja Sasa ya kuzungukia mafinga imeukwepa msitu wa Sao hill
 
Hii ni ya mufindi dc Unaingilia nyororo inaamaana ndo junction na wanayojenga kutoka mafinga kwenda mgororo hii ni shortcut ya wakazi wa mufindi kwenda makambako Haina haja Sasa ya kuzungukia mafinga imeukwepa msitu wa Sao hill
Okie ila watakuwa wanajenga watu wa TanRoads Kwa pesa ya devo,Mimi nilidhani ni Ile kubwa inayopita huko Sao hill maana ndio itajengwa Kwa EPC plus F..

Nachoumiza hii inayopita Sao hill haitoboi Njombe? Yaani haipiti Mtwango?
 
Okie ila watakuwa wanajenga watu wa TanRoads Kwa pesa ya devo,Mimi nilidhani ni Ile kubwa inayopita huko Sao hill maana ndio itajengwa Kwa EPC plus F..

Nachoumiza hii inayopita Sao hill haitoboi Njombe? Yaani haipiti Mtwango?
HaPana hii ni Mtwango Kata iliyoko mufindi dc inaenda kuungana na HiYo ya mafinga mgololo Ina pita igowole ya Mtwango njombe Ile inaanzia iWe
Okie ila watakuwa wanajenga watu wa TanRoads Kwa pesa ya devo,Mimi nilidhani ni Ile kubwa inayopita huko Sao hill maana ndio itajengwa Kwa EPC plus F..

Nachoumiza hii inayopita Sao hill haitoboi Njombe? Yaani haipiti Mtwango?
Hapana ila inaenda kuungana nayo mtwango ndo junction mtwango ya mkoa wa Njombe pale wanajenga ya itulahumba had igwachanya na mtwango hadi lupembe kupitia mradi wa Agri connect lengo wamelenga kuunganisha maeneo ya uzalishaji na soko wame target soko la mazao lililo jengwa makambako kwa Sasa wapo hatua ya uezekaji
Okie ila watakuwa wanajenga watu wa TanRoads Kwa pesa ya devo,Mimi nilidhani ni Ile kubwa inayopita huko Sao hill maana ndio itajengwa Kwa EPC plus F..

Nachoumiza hii inayopita Sao hill haitoboi Njombe? Yaani haipiti Mtwango?
H
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…