Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Siku wakandarasi wakiwa site ndio ulete hizi habari.Kabla ya greda yanaanza makaratasi,hii sio mara ya kwanza watu wa dart wanaongea hivyo,wanasubiria mabadiliko ya Sheria.
Siku wakandarasi wakiwa site ndio ulete hizi habari.Kabla ya greda yanaanza makaratasi,hii sio mara ya kwanza watu wa dart wanaongea hivyo,wanasubiria mabadiliko ya Sheria.
Dart kwa dar tu majiji mengine hayana ardhi au yanaelea kwenye maji.Sheria Kwa Sasa inataka dart Kwa Dar tuu.
Waulize waliotunga hiyo sheriaDart kwa dar tu majiji mengine hayana ardhi au yanaelea kwenye maji.
Dart wanapeleka huduma dodoma👇Waulize waliotunga hiyo sheria
Sheria ipi na ya mwaka Gani ..imepitishwa lini na bunge ..stop nonsenseSheria Kwa Sasa inataka dart Kwa Dar tuu.
We mpumbavu nini? Nimekuwekea nukuu ya gazeti Kwa nini usisome.ujue hicho unachoniuliza.Sheria ipi na ya mwaka Gani ..imepitishwa lini na bunge ..stop nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ndio mpumbavu ...ambaye unatuletea stori zako ...kwanza elewa kuwa dart maana yake ni dar es salaam rapid transport.......We mpumbavu nini? Nimekuwekea nukuu ya gazeti Kwa nini usisome.ujue hicho unachoniuliza.
Majumba ya tope hata Nyegezi CDB ni pazuri!Buchosa mkoani mwanza👇👇
View attachment 2626249
Hiyo ni buchosa mkuu naona inapambana na igekemaja.Majumba ya tope hata Nyegezi CDB ni pazuri!
Hiyo ni buchosa mkuu naona inapambana na igekemaja.
Majumba ya tope hata Nyegezi CDB ni pazuri!
Endeleeni kuugulia maumivu hapa 👇Buchosa mkoani mwanza👇👇
View attachment 2626249
Wakati njombe mkiendelea kubishana na makambako wapi mjenge chuo Cha veta
Geita,,,IFM wamebisha mlango
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo kikuu Cha mbao et eh ..... ukiniletea tcu admissions book yenye amani university nitag nileft uziNjombe tuna Chuo Kikuu tayari kinaitwa Amani,Kuna Mpango wa Chuo Kikuu Cha Njombe na tawi la Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Utalii mbioni kujengwa.
Hizo milioni 900 ni pesa ya kiwanja kule Isamilo na ibanda, haitoshi kiwanja cha capripoint na downtown