ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,151
- 85,036
- Thread starter
- #16,221
Kila Kona tupo kuanzia kwenye meli,Barabara Hadi vivuko
Hadi uwanja wa Sokoine ni City center kumbe dah.. Mbeya bado sana
Ndio kwani uko Nje ya Mji? Nyamagana Iko wapi?Hadi uwanja wa Sokoine ni City center kumbe dah.. Mbeya bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hapo ni CBD basi Mbeya ina safari ndefu sanaNdio kwani uko Nje ya Mji? Nyamagana Iko wapi?
Safari ya kwenda wapi? Kwani hata isipokuwa na CBD Kuna tatizo?
Kuna tatizo sana ...jiji disorganized na poor planned kama mbeya ni aibu Kwa nchi yetuSafari ya kwenda wapi? Kwani hata isipokuwa na CBD Kuna tatizo?
Hiv kuna sehemu za kujidai huko mbeya na kusini nzima...

standard gan hamna hata recreation centresHii picha ni ya zamani, hili jengo jeupe wamelibomoa kuta zote limebakiza nguzo wanalirudia upya hata urefu wameongeza
Kha!! Kwa nini mkuu...lilikuwa chini ya viwango? Au wanataka liwe refu zaidi?Hii picha ni ya zamani, hili jengo jeupe wamelibomoa kuta zote limebakiza nguzo wanalirudia upya hata urefu wameongeza View attachment 2623856
Hata mimi nimeliona kwa picha za drone za juzi juzi miezi michache iliopita...nikajiuliza maswali nisiyo na majibu...mbona ili jengo lilikuwa lina hadi paa lakin sasa liko hiv?Hii picha ni ya zamani, hili jengo jeupe wamelibomoa kuta zote limebakiza nguzo wanalirudia upya hata urefu wameongeza View attachment 2623856
Wamebadilisha muonekano, picha ya design yake inaonekana kuwa Bara zaidi. Bakwata bado wapo msingi maana jengo ni kubwa mnoKha!! Kwa nini mkuu...lilikuwa chini ya viwango? Au wanataka liwe refu zaidi?
Sijaenda Bukoba muda mrefu...
Kama uko Bukoba naomba utupigie picha ujenzi wa bakwata complex, kitwe plaza, nkView attachment 2623890
Yap Wameongeza urefu na muonekano umeboreshwa zaidiHata mimi nimeliona kwa picha za drone za juzi juzi miezi michache iliopita...nikajiuliza maswali nisiyo na majibu...mbona ili jengo lilikuwa lina hadi paa lakin sasa liko hiv?
Itakuwa ameone liwe refu zaidi View attachment 2623899
From planning perspective and an obvious perspective hilo ni tatizoSafari ya kwenda wapi? Kwani hata isipokuwa na CBD Kuna tatizo?