Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wew ni mpuuzi....hyo ni ya mbeya naona umeishiwa baada ya sauli kupata hasara huko [emoji28][emoji28][emoji28]
Inapitia Mwanza Wala haipiti Mbeya na Huwa inakataa Abiria wa Mbeya Dar 😁😁😁😁😁
 
Zimekuwa ngapi? Mikdde
t_mabasi_1683740120557518.jpg
t_mabasi_168374012055766.jpg
tanzania_regional_buses_1683740959663584.jpg
 
Na hakika hata wewe unajua kwamba huu ni uongo, yaani utakuwa taahira kama unaweza furahia Barabara imejaa viraka na mashimo kuanzia mlandizi,Dom Hadi Mwanza ukaacha lami tamu kama ya Ulaya ya kuja Highlands
Angalia poll achana na Mimi[emoji867]
 
Bilioni 441 simiyu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]..
wapi songwe [emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20230510-111345_1.jpg
 
Back
Top Bottom