Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mipambo ya serikali ni Mingi
Na Bado
Hapa bado
gold ( Mara , mwanza, shinyanga,geita ,simiyu na kagera)
Almasi (mwanza na shinyanga)
Rare earth (shinyanga).
nickel (kagera na simiyu ).
Hii Kanda ndo inaipa uhai nchi
Screenshot_20230429-202022.jpg
 
..... wapi mbeya. .

Uko desperate sana aisee kwamba hujui faida tutakayopata? 😁😁

Zitasaidia kuongeza udahili wa wanachuo hivyo kuzidi kuleta pesa Mbeya.

Zitaongeza idadi ya majengo marefu Mbeya hivyo kupamba Jiji

Zitaongeza mzunguko wa pesa Jijini zaidi ya bil.7 zitaingia Mbeya,

Zitakuza GDP na mwisho Zitazidi kujifanya Mbeya kuwa kivutio Cha Elimu Kwa wanafunzi..

Si ajabu wivu unafanya mpaka unalinganisha hako kabasi ka mil.600 na mradi wa bil.7 😁😁
 
Uko desperate sana aisee kwamba hujui faida tutakayopata?

Zitasaidia kuongeza udahili wa wanachuo hivyo kuzidi kuleta pesa Mbeya.

Zitaongeza idadi ya majengo marefu Mbeya hivyo kupamba Jiji

Zitaongeza mzunguko wa pesa Jijini zaidi ya bil.7 zitaingia Mbeya,

Zitakuza GDP na mwisho Zitazidi kujifanya Mbeya kuwa kivutio Cha Elimu Kwa wanafunzi..

Si ajabu wivu unafanya mpaka unalinganisha hako kabasi ka mil.600 na mradi wa bil.7
 
Back
Top Bottom