Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Hako Kamji ka hovyo ,Mji wa gorofa 5 labda unalingishia Katoro ila Geita haiwezi lingana na Mji wowote wa Nyanda za Juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hako Kamji ka hovyo ,Mji wa gorofa 5 labda unalingishia Katoro ila Geita haiwezi lingana na Mji wowote wa Nyanda za Juu
Iringa ni mji wa wafanyakaz, njombe, mafinga ni, miji ya wafanya biasharaSio mbali wewe, nimeishi Mwanza 3 yrs ni only 160 km to Shinyanga. Miji hiyo kupitwa au hapana ni factor ya growth rate ambapo kwa sasa iko favourable kwa Njombe kuliko Songea na Iringa so tofautisha kukimbia na kutembea.
Imagine barabara ya Njombe Ifakara na Njombe kudewa, Mbamba bay na Njombe, Makete Mbeya zikikamilika hiyo speed ya ukuaji itakuwa mara mbili ya sasa wakati Iringa na Songea hakuna jipya barabara zake kuu ziko operational tayari.
Unaijua Asas?Huwezi pata brand ya kibabe zaidi ya hii huko kusini....View attachment 2603962
Sent using Jamii Forums mobile app
Geita inazidi kupendeza...


...watasema na wao wanazo .ila wakiombwa picha wanabaki kushangaa..

...wapi songea Ndio Kijiji gani hiki
Taa Kwa Sasa sio issue sana mjini Kila sehemu ziko zinafungwa..Geita inazidi kupendeza......watasema na wao wanazo .ila wakiombwa picha wanabaki kushangaa..
...wapi songea View attachment 2604405View attachment 2604406View attachment 2604407
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima ukijue .Ndio Kijiji gani hiki



..ila mbeya hamna crossing light mmezidiwa na nyankumbu 
