Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Sema hujawahi fika kabisa Kwan dhambi ..mm mbona sijawahi fika mbeya na sibishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia Mwanza nafahamu,ni vile sikuwa naishi hapo mjini ndio maana sijakariri mitaa na Sasa ni mda mrefu umepita obvious Kila kitu kimebadilika..

Harafu Mwanza huwezi potea na Wala haichangangi Kwa sababu Ina Barabara kuu 3 za hapo Mjini tofauti na Arusha,Dodoma,Dsm..

Miji ya Mwanza na Dodoma Huwa nikienda nahisi Niko safe na naweza Kuzunguka mtaani bila usafiri ila Arusha siwezi ,Dar labda Mjini kwingine Kuna Panya road waliwahi nikosa kule Gomz Kituo kipya kama unakuja Ulongoni so nikaichukia Dar mazima 😁😁😁
 
Nimekwambia Mwanza nafahamu,ni vile sikuwa naishi hapo mjini ndio maana sijakariri mitaa na Sasa ni mda mrefu umepita obvious Kila kitu kimebadilika..

Harafu Mwanza huwezi potea na Wala haichangangi Kwa sababu Ina Barabara kuu 3 za hapo Mjini tofauti na Arusha,Dodoma,Dsm..

Miji ya Mwanza na Dodoma Huwa nikienda nahisi Niko safe na naweza Kuzunguka mtaani bila usafiri ila Arusha siwezi ,Dar labda Mjini kwingine Kuna Panya road waliwahi nikosa kule Gomz Kituo kipya kama unakuja Ulongoni so nikaichukia Dar mazima
Kam ni miaka minane ,,,....ni zaman sana .. you're so welcome...njoo na camera nzuri tu ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kam ni miaka minane ,,,....ni zaman sana .. you're so welcome...njoo na camera nzuri tu ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa hapo usagara Kuna Ile Barabara ya usagara-Kisesa bypass hivi inatumika na daladala zipo? Kwamba naweza kutoka usagara nikaenda Kisesa then nirudi mjini bila usumbufu?

Pili hiyo Barabara kubwa kutoka hapo usagara kwenda Kigongo -Busisi Kuna daladala au? Maana those days ilikuwa Bado maporini makazi yalikuwa ya kutafutiza..
Harafu Ukiwa Nanenene kule maana Kwa kipindi hicho ndio makazi Mapya yalikuwa yanaanza,naweza kupanda daladala Hadi njia ya Airport bila Kupitia city centre?

Hivi hizo stand zenu ukiacha nyegezi Kwa nyuma hapa daladala zilikuwa zinaishia na kulikuwa na Soko ambalo sio rasmi panaitwaje nimepasahau na Kwa Sasa ndio Kuna stand Mpya nyingine?

Mwisho Ndugu yangu anaishi Usagra na mwingine kule SAUT iliko nimeshau jina something like Malimbe..
 
Ukiwa hapo usagara Kuna Ile Barabara ya usagara-Kisesa bypass hivi inatumika na daladala zipo? Kwamba naweza kutoka usagara nikaenda Kisesa then nirudi mjini bila usumbufu?

Pili hiyo Barabara kubwa kutoka hapo usagara kwenda Kigongo -Busisi Kuna daladala au? Maana those days ilikuwa Bado maporini makazi yalikuwa ya kutafutiza..
Harafu Ukiwa Nanenene kule maana Kwa kipindi hicho ndio makazi Mapya yalikuwa yanaanza,naweza kupanda daladala Hadi njia ya Airport bila Kupitia city centre?

Hivi hizo stand zenu ukiacha nyegezi Kwa nyuma hapa daladala zilikuwa zinaishia na kulikuwa na Soko ambalo sio rasmi panaitwaje nimepasahau na Kwa Sasa ndio Kuna stand Mpya nyingine?

Mwisho Ndugu yangu anaishi Usagra na mwingine kule SAUT iliko nimeshau jina something like Malimbe..
Bypass ya Usagara kwenda kisesa bado hamna daladala.... maybe unaweza panda gari za fela then bodaboda Hadi kisesa.....
Usagara kwenda darajani hiace nyingi sana ...za kigongo fery Hilo hata halina wasiwasi .......kama unataka upite nanenane kwenda airport bila kupitia mjini ...ukiwa kisesa au nyamhongolo panda daladala za kisesa airport zenye mkanda mweusi na mwekundu zinapita buzuruga na nyasaka zinatokea pasiansi then airport.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa hapo usagara Kuna Ile Barabara ya usagara-Kisesa bypass hivi inatumika na daladala zipo? Kwamba naweza kutoka usagara nikaenda Kisesa then nirudi mjini bila usumbufu?

Pili hiyo Barabara kubwa kutoka hapo usagara kwenda Kigongo -Busisi Kuna daladala au? Maana those days ilikuwa Bado maporini makazi yalikuwa ya kutafutiza..
Harafu Ukiwa Nanenene kule maana Kwa kipindi hicho ndio makazi Mapya yalikuwa yanaanza,naweza kupanda daladala Hadi njia ya Airport bila Kupitia city centre?

Hivi hizo stand zenu ukiacha nyegezi Kwa nyuma hapa daladala zilikuwa zinaishia na kulikuwa na Soko ambalo sio rasmi panaitwaje nimepasahau na Kwa Sasa ndio Kuna stand Mpya nyingine?

Mwisho Ndugu yangu anaishi Usagra na mwingine kule SAUT iliko nimeshau jina something like Malimbe..
Ukitoka Usagara,, maeneo ambayo kulikuwa na soko ni buhongwa...japo pia Kuna stendi ya daladala za vijijini nyanshishi..kabla hujafika buhongwa... stendi ya nyegezi haijahamishwa ..wameifanyia renovation pale pale ilipokuwa...... stendi ya nyamhongolo ipo huko ikitokea kisesa au nanenane unapopasemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa miaka hyo jamaa aliyotaja naamin at mwanza na kisesa zilkuwa bad kuungana as the same usagara but now ukiambiwa kisesa na bujora ziko magu utashangaa vile usagara yote ukiskia ni misungwi lazima ushangae

Mwanza unapita wilaya nne zote unamaliza bila kjua maana ukiwa kisesa ni magu ukisafir kwenda usagara utapita ilemela,nyamagana zen misungwi
 
Ukitoka Usagara,, maeneo ambayo kulikuwa na soko ni buhongwa...japo pia Kuna stendi ya daladala za vijijini nyanshishi..kabla hujafika buhongwa... stendi ya nyegezi haijahamishwa ..wameifanyia renovation pale pale ilipokuwa...... stendi ya nyamhongolo ipo huko ikitokea kisesa au nanenane unapopasemea

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata ,hujajibu maelezo yangu mengine
 
Mikdde Kitombile
Niliwahi Waambia kwamba Soko la Madini la Chunya linapngoza Kwa mapato ya dhahabu mkatoa sana mapovu..

Haya Sasa wapi Geita,Kahama na Mbogwe ?
Screenshot_20230427-184111.jpg
Screenshot_20230427-184904.jpg
 
Back
Top Bottom