Kahama hyo ...von lufutaUnajua Mwekezaji lakini? Ameshusha vitu Vipya maana si unajua kwetu Huwa hatupati mabati na mitumbwi kama ya huko kwenu View attachment 2573758View attachment 2573759View attachment 2573760View attachment 2573761View attachment 2573763View attachment 2573765View attachment 2573766View attachment 2573767View attachment 2573768View attachment 2573758View attachment 2573759View attachment 2573760View attachment 2573761View attachment 2573763View attachment 2573765View attachment 2573766View attachment 2573767View attachment 2573768
Yaani wewe ni Bure kabisa,tangu lini Kisbo ikawa ni route Mpya Kwa Kahama?
Huyo ndio Mwekezaji sio hao wajasiliamali njaa ,Kila mwaka anaingiza chuma Mpya vitu piruuuUnarudia rudia picha ili kusatistfy your ego
Kwenye kila mwaka umetudanganyaHuyo ndio Mwekezaji sio hao wajasiliamali njaa ,Kila mwaka anaingiza chuma Mpya vitu piruuu
Deluxe zimeuzwa hayupo tena barabarani na moja ipo kwa Moud inapiga Dar Tanga Daluni
Naona picha yangu imetumika kama evidenceUkiniletea bas ..1by 2 VVIP kama hili naleft jfView attachment 2573678View attachment 2573679
Mwaka uliopita kaleta na mwaka huu kaleta piaKwenye kila mwaka umetudanganyabaada ya DPK hadi DYD ilipita miaka mingapi hapo katikati
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Mwanza mna stand mbovu sana,mtaharibu brand yetu ya Mkoa ,Mbeya express
Picha ipi bro ..ili niwe nakupa credit
Hilo gwangala linafaa kupaki hapo ... stendi Mpya sio Kwa ajili ya mabati machakavu namba B kama hyo ....Mwanza mna stand mbovu sana,mtaharibu brand yetu ya Mkoa ,Mbeya express
Acha wivu basi Sasa hapo Kuna gari gani ya kushinda brand Mbeya City?Hilo gwangala linafaa kupaki hapo ... stendi Mpya sio Kwa ajili ya mabati machakavu namba B kama hyo ....
Stendi Mpya zinapaki international standard bus kama hizView attachment 2573994View attachment 2573996View attachment 2573997View attachment 2573998View attachment 2573999
Ko hicho kibobonya unakiita gari .......Acha wivu basi Sasa hapo Kuna gari gani ya kushinda brand Mbeya City?
Kuna stand kali kwa designs tu kwanza kama Nyamhongolo na NyegeziMwanza mna stand mbovu sana,mtaharibu brand yetu ya Mkoa ,Mbeya express