Kahama VS Njombe/Mafinga

Oooh kumbe anaokoteza ila hyu jamaa ni kubwa jinga sana anaokotezaga vitu vingi mno
 
Mwanza mna stand mbovu sana,mtaharibu brand yetu ya Mkoa ,Mbeya express
Hilo gwangala linafaa kupaki hapo ... stendi Mpya sio Kwa ajili ya mabati machakavu namba B kama hyo ....

Stendi Mpya zinapaki international standard bus kama hiz
 
Tatizo moja la mji wa Bukoba limeanza kufanyiwa kazi...ujenzi wa stendi umeanza upya baada ya kukwama za zaidi 15years...bado soko sasa...sijui mtaisema Bukoba kwa lipi sasa

Nimependa kutumia mkandarasi wa hapo hapo Bukoba...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…