Naomba tuseme ukweli...hiv unaweza linganisha kiwanda cha kagera sugar na hivyo viwanda vya pipi na maziwaSio tuu viwanda unaijua kampuni ya Asas wewe?
Hizo pipi ata nyumbani huwa tunatengenezaHebu tufanye hiv....kagera sugar isitishe uzalishaji wa sukari kwa mwezi tu uone kama hawataandamana sukari haipo
Hao watu nimeachana nao...hiv unaweza linganisha kiwanda cha sukari na cha pipi?
Ukiangalia haya masuala kiundani Bukoba iko mbali sana tu...
Naomba utaje hizo manafacturing industry za iringaSasa hvyo viwanda vinauza maji bukoba tu ndo ufanananisha na kiwanda cha dabaga au ivory au chai bora vinavyouza bidhaa nchi nzima duh kwel wew huna akili yani hayo maji hata dar haypo alaf unasema unakiwanda jambo la aibu kuleta viwanda uchwara mbele ya manufacturing Industries vya iringa kwenye viwanda hapo umepotea nyumbu tz hii kila kiwanda kinatafuta soko dar kweny watu weng kisipotoboa soko la dar basi hicho hakitajuliakana sasa nenda supermarket yoyote kaangalie kama hmn bidhaa za ivory dabaga naw chai bora alaf angalia hvyo vijiuchafu vyenu kama vipo pale mliman cty,nyumbu hamjawah kuwa na akili timamu yan unaleta viwanda vinavyojulikna kijijini kwenu huko cc tunaleta kiwanda kinajulikana tz nzima na nje ya nchi kimaa wewe kesho usilete viwanda vyenu vya kuchungiA ng'ombe
Rukwa ipo kanda gani?Kuna ndezi mmja alisema eti Kigoma ndio Kuna Lake Tanganyika pekee πππ.
Kasanga Port in Rukwa is second in terms of volumes and rwvunues after Kigoma.
Angalia hapa wewe kiazi mbonyeoππKuna ndezi mmja alisema eti Kigoma ndio Kuna Lake Tanganyika pekee πππ.
Kasanga Port in Rukwa is second in terms of volumes and rwvunues after Kigoma.
Kuna ndezi mmja alisema eti Kigoma ndio Kuna Lake Tanganyika pekee πππ.
Kasanga Port in Rukwa is second in terms of volumes and rwvunues after Kigoma.
Niangalie nini Sasa we pimbi? Kigoma na Rukwa ndio ina Lake coastline ndefu kwenye Lake TanganyikaAngalia hapa wewe kiazi mbonyeoππ
View attachment 2568452
Hoja Yako ya msingi ni ipi Sasa ew mpumbavu wa kusiniNiangalie nini Sasa we pimbi? Kigoma na Rukwa ndio ina Lake coastline ndefu kwenye Lake Tanganyika
Lakini hazipo nyanda za juu kusiniπππ, kila siku unaipost sumbawanga ambayo haipo hupo mashamban kwenu.Niangalie nini Sasa we pimbi? Kigoma na Rukwa ndio ina Lake coastline ndefu kwenye Lake Tanganyika
Kusini nzima hamna jengo kama hili
ππππ€£π€£π€£ππππππππππ Rukwa ipo Kanda gani bwashee?Lakini hazipo nyanda za juu kusiniπππ, kila siku unaipost sumbawanga ambayo haipo hupo mashamban kwenu.
Nan awajengee huko tunawapa light project na vile ujinga kichwani mwingi wanaona wamepaa π€£Kusini nzima hamna jengo kama hili
Hiyo ramani inaonesha makalio yako yaliyopauka?ππππ€£π€£π€£ππππππππππ Rukwa ipo Kanda gani bwashee?
Endelea kuipaisha kanda ya magharibi, wakati kwenu mmekalia ndumba na kusubiri uponyaji wa wachungaji uchwara.
Huna hoja umeanza kuwa taahira kama yule kubwa jinga niliye mu ignoreHiyo ramani inaonesha makalio yako yaliyopauka?
Au unataka nipost raman ya kikanda kila dakika labda utaelewa.Huna hoja umeanza kuwa taahira kama yule kubwa jinga niliye mu ignore