Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Leta hoja usikomaze Hilo komwe,,leta mandhari kama hayo
Hoja ni hii hapa 👇
IMG_20230324_155652_754.jpg
IMG_20230324_155655_225.jpg
IMG_20230324_155302_891.jpg
IMG_20230324_155258_702.jpg
 
Hilo bomba halina CSR 😆😆

Huko tulishavuka kitambo Kuna Bomba la mafuta kutoka Dar Hadi Zambia TAZAMA.

Kuna Bomba la gas kutoka Mtwara kwenda Dar .

Sie ni wakubwa zenu kitambo wewe mburula.
Kitambo gan ukweli unao sema mavi kichwani yamekujaa badala ya akili Sasa Leo Ndo mnaunganisha Mikoa yenu Kwa Barabara kitu hicho tunajua kilifanyika miaka 20 nyuma kumbe kna watu wanashangilia Leo hii na kuona wako vzr 🤣🤣
 
Kahama Kuna uwanja wa ndege ad bombardier znashuka Sasa useme kiwanja Cha njombe
 
Kwani
Kahama Kuna uwanja wa ndege ad bombardier znashuka Sasa useme kiwanja Cha njombe
Kwani Njombe hakuna uwanja wa ndege? Hizo Charters planes zinatua wapi? Kwenye ua wako au?

Tuko kwenye design kujenga mkubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom