KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Nyumbu wa Kanda ya Ziwa mkiona hivi mnasonga tuu kimya kimya 😂🤣🤣View attachment 2566575View attachment 2566576View attachment 2566577View attachment 2566578
Huko mashambani 🤣🤣🤣
Nyumbu wa Kanda ya Ziwa mkiona hivi mnasonga tuu kimya kimya 😂🤣🤣View attachment 2566575View attachment 2566576View attachment 2566577View attachment 2566578
Eti gorofa mbili 😃😃sijasema Njombe mjini Iko sawa au kuizidi bukoba Kwa sababu ya factor mbalimbali ikiwemo kuwa mji wa kisiasa just from 2012 wakati Bukoba Iko Toka 1964 lakini Kasi ya ukuaji Njombe inatisha😀 mkuu ndio maana nilikwambia Bukoba inafukuzwa na Njombe.Tazama business circulation ya Njombe na Bukoba utakuta difference ni ndogo pamoja na kuwa Bukoba inaadvantage zaidi ya Njombe Kwa kuwa Njombe logistically inaathariwa kuwa karibu na Mbeya,Iringa,Dodoma,Songea kiasi cha kumezwa mezwa.Ila huwezi fananisha Iringa na Bukoba bhana Iringa Iko mbali sana.Kumbuka Iringa inahost vyuo vikuu vitatu,inaviwanda,na ndio baba wa Mafinga wilaya yenye pato kubwa la serikali kutokana na Saohill,mufindi papers etc.Iringa pia Kwa sasa ni mikoa iliyo karibu na Ikulu.Huna akili....Imebidi nikutukane tu...Eti Njombe...njombe hii yenye kata tatu za mjini na nyumba nyingi zilizojaa kutu? Fremu kibao na nyumba zilizojengwa ovyo?...
Yaam watu mnanishangaza sana...yaan kujengewa stendi ya mabasi, soko na ghorofa mbili ndo muanze kujilinganisha na miji iliyokuweko toka zamani....
Na watu wengi wanaoiponda Bukoba ni either hawajawahi fika Bukoba na kama wamefika Bukoba wamepita tu....wengi mnaisikia Bukoba mitandaoni na mara nyingi Bukoba hupostiwa in a negative way may be kwa sababu ya wahaya....( ni kawaida kwa makabila makubwa strong kupewa sifa mbaya na makabila madogo)
Lakin Deep down ukiangalia hali ya hewa, kufikika, huduma za maji na umeme, ujenzi wa makazi, barabara za kuunganisha mitaa na mitaa, michezo na burudani yaan recreation na hata idadi kubwa ya watu kustaarabika Bukoba iko mbali sana kuliko miji mingi ya kusini Iringa ikiwemo...
Pale Bukoba kukijengwa stendi kuu na soko...matatizo yake yote kwisha maana sekta nyingine zote washamaliza....
Kuwa karibu na ikulu Wala sio kigezo bas morogoro ingekuwag at Jiji,,halafu ukweli sehemu wanakolima TU maendeleo ni hamna maana ukisema NJOMBE bila hayat ambaye Kila siku mnampondea but Ndo aliwajengea HOSPITALI ya Kanda,soko dogo hapo NJOMBE,stand na kuwaboreshea Barabara Sasa hicho Ndo unasema inakua au 🤣🤣Eti gorofa mbili 😃😃sijasema Njombe mjini Iko sawa au kuizidi bukoba Kwa sababu ya factor mbalimbali ikiwemo kuwa mji wa kisiasa just from 2012 wakati Bukoba Iko Toka 1964 lakini Kasi ya ukuaji Njombe inatisha😀 mkuu ndio maana nilikwambia Bukoba inafukuzwa na Njombe.Tazama business circulation ya Njombe na Bukoba utakuta difference ni ndogo pamoja na kuwa Bukoba inaadvantage zaidi ya Njombe Kwa kuwa Njombe logistically inaathariwa kuwa karibu na Mbeya,Iringa,Dodoma,Songea kiasi cha kumezwa mezwa.Ila huwezi fananisha Iringa na Bukoba bhana Iringa Iko mbali sana.Kumbuka Iringa inahost vyuo vikuu vitatu,inaviwanda,na ndio baba wa Mafinga wilaya yenye pato kubwa la serikali kutokana na Saohill,mufindi papers etc.Iringa pia Kwa sasa ni mikoa iliyo karibu na Ikulu.
Kabla ya yote ushawahi kufika kahama?Eti gorofa mbili 😃😃sijasema Njombe mjini Iko sawa au kuizidi bukoba Kwa sababu ya factor mbalimbali ikiwemo kuwa mji wa kisiasa just from 2012 wakati Bukoba Iko Toka 1964 lakini Kasi ya ukuaji Njombe inatisha😀 mkuu ndio maana nilikwambia Bukoba inafukuzwa na Njombe.Tazama business circulation ya Njombe na Bukoba utakuta difference ni ndogo pamoja na kuwa Bukoba inaadvantage zaidi ya Njombe Kwa kuwa Njombe logistically inaathariwa kuwa karibu na Mbeya,Iringa,Dodoma,Songea kiasi cha kumezwa mezwa.Ila huwezi fananisha Iringa na Bukoba bhana Iringa Iko mbali sana.Kumbuka Iringa inahost vyuo vikuu vitatu,inaviwanda,na ndio baba wa Mafinga wilaya yenye pato kubwa la serikali kutokana na Saohill,mufindi papers etc.Iringa pia Kwa sasa ni mikoa iliyo karibu na Ikulu.
🎃Akili zako ziko matakoni
Uende huko mapangoni kufanya nini?Kabla ya yote ushawahi kufika kahama?
Uende huko mapangoni kufanya nini?
Uende huko mapangoni kufanya nini?
Inaitwa green gold pesa uhakika ,ukilima pesa haitendi Kwa mzungu kama hiyo migodi yenu huko mlikoachiwa mashimo na umaskiniMaparachichi 🤣🤣🤣 endelea kutuoneshe mashamba
Huko tulishavuka kitambo sana,tunapokea treni za Utalii.Kahama to mwanza ujenzi SGRView attachment 2567223
Hakuna kitu huko kwenye magofu ya Bukoba..Eti gorofa mbili 😃😃sijasema Njombe mjini Iko sawa au kuizidi bukoba Kwa sababu ya factor mbalimbali ikiwemo kuwa mji wa kisiasa just from 2012 wakati Bukoba Iko Toka 1964 lakini Kasi ya ukuaji Njombe inatisha😀 mkuu ndio maana nilikwambia Bukoba inafukuzwa na Njombe.Tazama business circulation ya Njombe na Bukoba utakuta difference ni ndogo pamoja na kuwa Bukoba inaadvantage zaidi ya Njombe Kwa kuwa Njombe logistically inaathariwa kuwa karibu na Mbeya,Iringa,Dodoma,Songea kiasi cha kumezwa mezwa.Ila huwezi fananisha Iringa na Bukoba bhana Iringa Iko mbali sana.Kumbuka Iringa inahost vyuo vikuu vitatu,inaviwanda,na ndio baba wa Mafinga wilaya yenye pato kubwa la serikali kutokana na Saohill,mufindi papers etc.Iringa pia Kwa sasa ni mikoa iliyo karibu na Ikulu.
Mikoa yetu Ina fursa kama zote just angalia hapa Lake Tanganyika
AHakuna kitu huko kwenye magofu ya Bukoba..
Kanda ya Ziwa ni Mwanza tuu kwingine kunanuka umaskini
Hakuna kitu umepost uduvi leta mandhar hayo halafu uwe na aibu unataja utalii unasema kusini wakat tz nzima ukitaja mbuga lazimaMikoa yetu Ina fursa kama zote just angalia hapa Lake TanganyikaView attachment 2567232View attachment 2567234View attachment 2567235View attachment 2567236
Hilo bomba halina CSR 😆😆
AHakuna kitu huko kwenye magofu ya Bukoba..
Kanda ya Ziwa ni Mwanza tuu kwingine kunanuka umaskini
Unaelewa maana ya Mandhari kwanza? Iliishia la ngapi?Hakuna ki
Hakuna kitu umepost uduvi leta mandhar hayo halafu uwe na aibu unataja utalii unasema kusini wakat tz nzima ukitaja mbuga lazima
Serengeti
Rubondo
Saanane
Next level kulinganisha na vijiji vyenzie vya Musoma,Shinyanga na Kahama 🤪🤪Tulia acha excuse bukoba ni next level kabisa kusini yote maana at mbeya ni mbovu Kila kitu
A