Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi unajua miji ya biashara ww unavua dagaa na kunya kwenye ziwa et miji ya biashara mchunga ngombe toka Lin akaijua biashara
Angalia mikoa ya biashara tz maana sisi hatulimi shoga ew huko kwenu mashambani
 
Ndio tunavua samaki Tena uvuvi huku ni sawa na mgodi unajua nchi nzima na nje ya nchi tunawalisha na hakuna mvuvi maskini
 
Huwa wanachukia wakiona usafiri Wetu 🤣🤣
20230325_183546.jpg
20230325_183559.jpg
20230325_183521.jpg
20230325_200308.jpg
20230325_181324.jpg
20230325_182820.jpg
20230325_182828.jpg
20230325_182858.jpg
20230325_183015.jpg
20230325_183027.jpg
20230325_183033.jpg
20230325_183021.jpg
20230325_182953.jpg
20230325_182944.jpg
20230325_182925.jpg
20230325_182914.jpg
20230325_182906.jpg
 
Hivi unajua miji ya biashara ww unavua dagaa na kunya kwenye ziwa et miji ya biashara mchunga ngombe toka Lin akaijua biashara
Hako kashamba ni Kaluga lugha ka Runzews huko Vijijini ndio maana akili hakana
 
Ndio tunavua samaki Tena uvuvi huku ni sawa na mgodi unajua nchi nzima na nje ya nchi tunawalisha na hakuna mvuvi maskini
Hahaha na kumbuka maskini siku zote anawaza kuzaa watoto tu Hana mawazo mbadala biashara bado Sana mje mjifunze nyanda za juu kusin kaskazini ,Na mashariki
 
Back
Top Bottom