Kahama VS Njombe/Mafinga

Povu na makasiriko ni vya nini?😁😁😁😁

Nzuri mno kulinganisha na wapi? Hivyo unavyovitaja hata Manyumbu vipo so sio big deal .
 
Kielimu bukoba tupo vzur Kuna shule inaitwa kemobos inakuwaga ya kwanza kitaifa au Tano Bora njombe hata mia Bora hamjawah kuingiza shule
 
Hii Barabara inaenda kuifungua zaidi Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hasa Mbeya 👇

 
Hospital ya mkoa imekuweko toka uhuru...nyie mmejengewa juzi kelele kibao...sidhani kama zina hata CT scan au Xrays mashines...

Hii hospital ina facilities zote za kuwa hospital japo ni kongwe mno

 
Hospital ya mkoa imekuweko toka uhuru...nyie mmejengewa juzi kelele kibao...sidhani kama zina hata CT scan au Xrays mashines...

Hii hospital ina facilities zote za kuwa hospital japo ni kongwe mno

View attachment 2564655
Nona madarasa Kuna majengo ya Hospital hapo?

Sie ukiacha hiyo Mpya tulikuwa na hospital ya Wilaya kitambo.
 
GDP ya Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ileeee !


Msije kusema hatukuwaambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…