Mussa Montelli
Senior Member
- Jul 18, 2022
- 188
- 81
Jambo la aibu yani manispaa ina KM 101 🤣🤣🤣🤣🤣 sawaa na makambako na mafinga kwel bukoka ina mengi ya kujifunza kwa njombeKwanza wamepanua manispaa ya Bukoba.....kutoka SQKM 101 sijui zitafika ngap...wanaongeza kata tisa za halmashauri ya wilaya ya Bukoba vijijini kwenye manispaa.
Mv Victoria safari zake kati ya Miji ya Bukoba na Mwanza....inabeba abiria kati ya 800 hadi 1200 kila siku between mwanza and BK....wakipungua sana 500...bila kusahau kuna mabus kibao kati ya mwanza na Bukoba
Nchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.Naam...
Ila hapo 101 , The Magic ...ni pakishua sana. Kahama ni Wilaya ila ina hadhi ya kuwa mkoa...
Kaka amka usingzin yani kahama iwe na wati milion wametoka wapi acha uongoNchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.
Kaka amka usingzin yani kahama iwe na wati milion wametoka wapi acha uoNchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.
Kaka amka usingzin yani kahama iwe na wati milion wametoka wapi acha uongo
Kinondon ina watu milion 1.7 haya ntajie mkuu wa mkoa wa kinondon aliekwambia nan mkiwa na watu weng ndo mkoa naniNchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.
Eti aibuJambo la aibu yani manispaa ina KM 101sawaa na makambako na mafinga kwel bukoka ina mengi ya kujifunza kwa njombe
Achana na kijiji cha moshi hicho iringa manispaa ina km 300 na bdo wanaongeza maeneo ya utawalaEti aibuwew ndo mshamba mkubwa....mnaweza mkawa na eneo kubwa na vijiji tu...hawa wameona Bukoba imejaa wakaona wamege kata 9 kutoka bukoba vijijini....
Kwani nyie miji yenu ina sqkm ngap...maana unaongea as if sqm 100 ni ndogo kwa municipality....itakuwa huelewi unabisha nini...
Maana manispaa zenye sqkm zaidi ya 100 ni chache Tz...manispaa kama ya moshi ina 58sqkm tu...
Hio njombe mji kama haina sqkm 32 sijui...labda uje na data zako
Yale yale niliyokuwa nasemaJambo la aibu yani manispaa ina KM 101sawaa na makambako na mafinga kwel bukoka ina mengi ya kujifunza kwa njombe
Leta uthibitisho maana inaonekana hujui unachoandika....Achana na kijiji cha moshi hicho iringa manispaa ina km 300 na bdo wanaongeza maeneo ya utawala
Bukoba ndogo kieneo na kujengeka ndo zero kabisa watu wengi huwa wanasema iringa manispaa ni ndogo lkn kwenye listi ya miji mikbwa tz ukitoa majiji 6 znazofata ni manispaa ya moro,moshi na iringa sasa iringa kama ndogo imezzid manispaa za tabora singida shinyangaLeta uthibitisho maana inaonekana hujui unachoandika....
Tena hapa Tz hakuna kamanispaa kadogo kama Iringa...hata kama wameamua kuongeza vijiji lakin sehemu iliyojengeka iringa ni ndogo sana....tena bora moshi ni kubwa....
Manispaa zenye maeneo makubwa ni Morogoro, Tabora, kigoma na Bukoba itaungana nazo baada ya kupanuliwa mwaka huu nk nk
Takwimu za miaka 10 iliyopitaYale yale niliyokuwa nasema...mnaweza kuwa na kata nyingi ila ni vijiji imagine NJOMBE MJINI kata tatu TU ndo mjini nyingine 10 ni vijiji..
Halafu acha kulinganisha Bukoba na vimji vya ajabu vya kusini...
Njombe sasaView attachment 2563250
Mkoa wa shinyanga una watu 2,241,299. Sensa ya 2022,kwa walio tembea mkoa mzima wa shy wana jua watu weng wako wap.na ukisema wilaya ya kahama manaake ni kahama manispaa,ushetu na msalala,watu milioni wana fika na kuzid.dar na wilaya zake hupaswi kuzikompare na wilaya za mikoani.Kaka amka usingzin yani kahama iwe na wati milion wametoka wapi acha uongo
Leta takwimu...sitaki mtu anayesema anaskia watu wanasema....wew hizo ranking umezitoa wapBukoba ndogo kieneo na kujengeka ndo zero kabisa watu wengi huwa wanasema iringa manispaa ni ndogo lkn kwenye listi ya miji mikbwa tz ukitoa majiji 6 znazofata ni manispaa ya moro,moshi na iringa sasa iringa kama ndogo imezzid manispaa za tabora singida shinyanga
Kawadanganye wasukuma nyumbu fatilia takwimu ndo uje useme tena kuhusu kahamaMkoa wa shinyanga una watu 2,241,299. Sensa ya 2022,kwa walio tembea mkoa mzima wa shy wana jua watu weng wako wap.na ukisema wilaya ya kahama manaake ni kahama manispaa,ushetu na msalala,watu milioni wana fika na kuzid.dar na wilaya zake hupaswi kuzikompare na wilaya za mikoani.
Bukoba ndo wanatanua leo iringa hiyo mipango ilipangwa tangu,2018Leta takwimu...sitaki mtu anayesema anaskia watu wanasema....wew hizo ranking umezitoa wap
Henu jiamini toa hoja zinazoeleweka na proofs....
Baraza la madiwani, Meya, Mkurugenzi wote wa manispaa ya Bukoba wanatoa report kuwa mji wa bukoba umejaa na umebana so wanaongeza kata tisa.ndani ya municipality wew eti unaskia sijui bla bla....
Hapa ni JF...hatuko kiutoto utoto hapa...toa hoja with proofs...
Basi ni wazembe...website yao hawaiupdate....lakin hata ongezeko la watu ni dogo mno hapo njombe imagine 0.8 growth....ndo hizo kata nyingine zijae?Takwimu za miaka 10 iliyopita
Angalia hio video vzr...mipango ilikuweko toka 2011 huko......Bukoba ndo wanatanua leo iringa hiyo mipango ilipangwa tangu,2018
Kwa hilo naunga mkono hoja umeo gear pointBasi ni wazembe...website yao hawaiupdate....lakin hata ongezeko la watu ni dogo mno hapo njombe imagine 0.8 growth....ndo hizo kata nyingine zijae?
Hio njombe bado sana...ndo maana hata serikali inasita sita kuipa hadhi ya manispaa...kuna a lot to do.....
Usidhani kujenga stendi ni vibarabara vitano ndo mji ni mji sasa...kuna miji kama Arusha au hata Kisumu haina hizo facilities lakin ni miji na inaonekana ni mji...
Mji kama Bukoba umekuweko toka 1890...ni mji uliopangwa...hata ukienda Bukoba unaona CBD iko wap ingawa barabara zake nyingi zimezeeka...kwa sababu ni mji mkongwe....ni mji ambao ukiweka facilities muhimu unapendeza mno...kuliko miji hii mipya inayojengeka kwa mtindo wa slums na fremu....