Nasema hivi , thamani ya investment inayotakiwa Liganga pekee ni dola bil.4.5 yaani Til.10.
Hatujagusa mambo mengine, serikali Iko kwenye mazungumzo ya mwisho na wawekezaji na kumbuka mwekezaji hana Mpango wa kutumia umeme wa Tanesco atazalisha mwenyewe hapo hapo Kwa makaa ya mawe..
Unganisha huto tumiradi twenu haifikii hiyo project Moja.