KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Ndo maana huko maendeleo hamna maana ni mikoa ya mashamba unalima unasafirisha angalia Kanda ya kati,lake zone ,kaskazin, na pwani ni mikoa ya biashara TU na ndo maaana watu ni we
Mpaka mda huu mwanza kunanyesha mvua shituka we pimbi utajinyeaaaNenda kote utakutana na maskini ukame na mavumbi 😀😀
Kanda ya Ziwa ni walau Bukoba Kuna nafuu
Wanajenga huku Mwanza 😝😝Huon at mawaziri wenu hawajengi huko wanajua wapo dar wamesongamana wengi wapo huku hawataki kurudi kwenu
Mikoa yenye maendelea wanakofnya biashara naona mko vizuri kwenye dream housesNdo maana huko maendeleo hamna maana ni mikoa ya mashamba unalima unasafirisha angalia Kanda ya kati,lake zone ,kaskazin, na pwani ni mikoa ya biashara TU na ndo maaana watu ni wengi mno
Unapost ad unajionea haibu mwenyewe 😂😂😂 unaokota picha za kitambo lakin unaaibikaMikoa yenye maendelea wanakofnya biashara naona mko vizuri kwenye dream houses View attachment 2550871View attachment 2550872View attachment 2550873View attachment 2550874View attachment 2550875View attachment 2550876🤣🤣🤣🤣
💉💉💉💉Naona dozi inakolea Sasa 😀😀😀.Unapost ad unajionea haibu mwenyewe 😂😂😂 unaokota picha za kitambo lakin unaaibika
Leta uchafu wowote unaoitwa Kahama au Shinyanga na Vijijini vya Geita tuone aerial view kama hii Ili nifunge Uzi..
Ukiona uswazi kama wa huko makambini kwenu nitag.
Songea MC View attachment 2550893View attachment 2550894View attachment 2550895View attachment 2550896View attachment 2550897
Tetenasi nyingine hii hapa lazima uugie..Mbona unapost tetenasi 😂😂