KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Haijalishi lakin still tunaongoza Kwa Kila kitu maana kungekuwa na watu wa mbeya kimaendeleo lake zone ningekubali lakin still ni sisi tunapiga Jiji linapepea,, njoo miji midogo ambayo sio wilaya lakin njombe hafikii njoo KATORO, RUNZEWE,USHIROMBO, MASUMBWE,Kanda inayoongoza kuwa na washamba weng tz ni kanda ya ziwa kwa wasukuma
Hvyo viuchafu usifananishe na njombe fananisha na makete au ludewaHaijalishi lakin still tunaongoza Kwa Kila kitu maana kungekuwa na watu wa mbeya kimaendeleo lake zone ningekubali lakin still ni sisi tunapiga Jiji linapepea,, njoo miji midogo ambayo sio wilaya lakin njombe hafikii njoo KATORO, RUNZEWE,USHIROMBO, MASUMBWE,
We made ni kenge hizo ni ghorofa za mwanza au at kusoma hujui hyo kahama usizan sisi tunaokoteza kama nyie sisi tunatmia Zaid kahama kushindanisha na kusini yote na imewakalisha lakin ukitak at shinyanga yote inaizidi ad mbeyaMkoa wa shinyanga hili ndo gororo refu wanaita tower ndo mnakuja kushinda na mkoa wa njombe asee shinyanga maendeleo bado Sana mnasafari ndefu Sana kuikuta njombe afu jamaa bila aibu anaposti gorofa za mwanza eti ipo shinyanga View attachment 2545793View attachment 2545794
Kama bil hayatkujenga hiyo hospital ya ghorofa na hiyo lift yenu ya mwaka 2014 mngeficha wap sura maana now mnaona mmeupiga mwingi kumbe ushamba tembeeni majiji muone
Kusini tajen fursa zinazopatkana ambazo at serikali yaweza wapa mrad mkubwa kama uwanja wa ndege,Hvyo viuchafu usifananishe na njombe fananisha na makete au ludewa
LinaitwajeBaada ya kubanwa mbavu na mkoa wa njombe hadi unathubutu kusema gorofa hili lipo shinyanga wakati lipo mwanza Nyerere road yan ww bado sana
Ndio hakuna wilaya Kanda ya ziwa ambayo sio manispaa now tena Jiji la mwanza limepata manispaa ya tatu USAGARA, Sasa utalinganisha na uchafu wa kusini Kwa wacheza ngoma za mwaliBasi kanda ya ziwa yote ni majiji ili nafsi yako iendelee kujidangnya
Utajifariji kwenye hamna ukweli kusini yote inakaa chini inavua kofia Kwa mji wa kahama TU Kila kitu kipo waziHuna lolote ww unaenda kuokoteza gorofa za mwanza na dar et zpo shinyanga we ni wakuupuuzwa tu ligi hii huiwezi njombe ni next level endelea kuvuja kamasi dereva wa ngombe
Linaitwaje
Utajifariji kwenye hamna ukweli kusini yote inakaa chini inavua kofia Kwa mji wa kahama TU Kila kitu kipo wazi
Naomb CBD ya kahama nikuonyesheUtajifariji kwenye hamna ukweli kusini yote inakaa chini inavua kofia Kwa mji wa kahama TU Kila kitu kipo wazi
Babati imepitwa na mafinga na makambako mbali snaaa yan kanda ya ziwa ndpo kunanuka umaskn tz nzimaBabat ni mAnyara kaka usichanganywe tulia dozi ikae
Anyara
Mipa hotel HiYo ipo mwanza
Naomb CBD ya kahama nikuonyeshe
Usifananishe njombe yenye miaka 10 ya kuwa mkoa na mkoa wenyew miaka 50 ila bdo wananchi wako maskin mbk leo ni jambo la aibuUwaz gan mzee wakati mmekalishwa mkoa mzima wa shinyanga Na mkoa wa njombe wenye miaka kumi tu
Fursa gan umetaja zikaikarisha kahamaUwaz gan mzee wakati mmekalishwa mkoa mzima wa shinyanga Na mkoa wa njombe wenye miaka kumi tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alaf unasema kahama ni mji hv unaakili timamu maana mji lzma uwe na CBD yake sasa mji unakuwa kama mtaa wa kihesa pale iringa townUna Mwonea kahama Haina CBD
Kahama kuna fursa gan zaid ya biashara tu kaka au unatk useme kuchunga ng'ombe nayo ni fursaFursa gan umetaja zikaikarisha kahama