Kahama VS Njombe/Mafinga

Acha kutuletea picha za dar hapa shinyanga inafahamika mzee njombe ilishaipita hadi mmeanza kuchanganyikiwa mnaleta miradi ya NHC dsm
 
Wako ziwani hawana maji 😁😁

Bil.146 itafuta shida ya Maji Songea Kwa miaka 20 ijayo..

 
Mwaka gani wilaya yoyote ya kusini imeongoza mapato??? mikoa ya hovyo hovyo tu angalia hili li manispaa linapambana na jiji kubwa africa dar es salaam.. halaf zinakuja kenge na bundi chache zinalinganisha KAHAMA manispaa na njombe mkoa wenye hauna manispaa!!! what kind of this ujinga???
 
Mwaka gani ubungo kaja huko kupata somo..wakubwa kwa wakubwa tu ndo wanajuana KAHAMA na UBUNGO yaani manispaa..Et mkoa hauna manispaa huo ni mkoa au wilaya??
 
Ukipunguza ujinga utapata akili

 
Post
Kwa sababu huko ndiko Kuna ng'ombe wasiojitambua wamerundikana kwenye mazizi wanaita nyumba😁😁

Wanasiasa wanajua Nyanda za Juu tunajitambua hawawezi kuleta upuuzi huku.
Post nyumba za Kanda ya ziwa ambazo ni zizi huku hatna nyumba za miti kenge ew
 
siku zingine mnapoleta maada humu muwe mnaangalia hadhi ndo mnalinganisha ..Yaani huwezi linganisha manispaa na mji ..Labda ungelinganisha mji wa geita na mji wa njombe hapo ingekaa vizuri
 
siku zingine mnapoleta maada humu muwe mnaangalia hadhi ndo mnalinganisha ..Yaani huwezi linganisha manispaa na mji ..Labda ungelinganisha mji wa geita na mji wa njombe hapo ingekaa vizuri
Kahama imeizidi Njombe hao maskini waojazana hapo hakuna kingine na wewe unajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…