Kahama VS Njombe/Mafinga

Shinyanga hyo msilinganishe na vimiji vyenu hvo sjui vinjombe visongea na hicho kijiji cha mbeya
 

Attachments

  • living-area (2).jpg
    55 KB · Views: 9
  • KAHAMA+TOWN.jpg
    43.3 KB · Views: 13
  • 305372.jpg
    16.2 KB · Views: 10
  • malaika-hotel-frontview_221_147shar-50brig-20_c1.jpg
    9.2 KB · Views: 11
  • karena-hotel-shinyanga (1).jpg
    43.9 KB · Views: 9
  • malaika-hotel-1410270-2.jpg
    37.4 KB · Views: 10
  • karena-hotel (2).jpg
    20.6 KB · Views: 10
  • karena-hotel (1).jpg
    75.8 KB · Views: 11
  • karena-hotel-shinyanga.jpg
    31.9 KB · Views: 13
  • sddefault.jpg
    61.1 KB · Views: 11
  • karena-hotel.jpg
    36.9 KB · Views: 9
  • living-area (3).jpg
    55 KB · Views: 9
  • 17483752.jpg
    83.1 KB · Views: 11
  • Shinyanga-Travel-Guide.jpg
    67.5 KB · Views: 11
Sijaelewa hizo malighafi tatu za mwisho zinatofautianaje na chanzo cha hizi takwimu pia bosi.
 
Umeishiwa Mabasi Hadi unachafua Uzi Kwa malori we panya buku?.

Hivi ndivyo Mbeya itafanana baada ya ujenzi wa njia 4, Katikati kutaachwa upande wa mita 9 na itaonekana kam Sam Nujoma View attachment 2542223
Mlinge
...mbeya imejaa mabanda kiasi kwamba hata mjengewe eight lanes hamwezi kuwa mwonekano Zaid ya kuwa kama hapa
 
Mlinge
...mbeya imejaa mabanda kiasi kwamba hata mjengewe eight lanes hamwezi kuwa mwonekano Zaid ya kuwa kama hapa
View attachment 2542736
Sasa hata ubishe,ivimbe,unune nk haitakusaidia , yaani hayo mabanda unayoyataja hayatazuia ujenzi wa Barabara kuwa hivyo nilivyokuambia na kama unabisha sema nikuletee video ya Chief wa TanRoads akieleza..

Hatuwezi kujenga dual carriage za kishenzi kama hizo za Mwanza,Arusha nk ,itakuwa ya mfano for future developments kwenye brt ,nk.
 
Jidanganye... kwamba wapi hawajengewi BRT ,,,,stop being dumb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…