Kahama VS Njombe/Mafinga

Morogoro labda ushindanishe na Tabora,kuishindanisha na Mbeya unaionea ndio maana Uzi kule haujatembea watu wamesema hakuna pesa huko Moro..

Wewe mwenyewe unaona Kuna nini Cha maana hapo?
Ingawa Kwa mipango Miji Moro ni nzuri kuliko mauswazi ya Mwanza 😜🤪
 
Acha kuhamisha magoli ....nyie morogoro hamuiwezi hata Kwa nn
 
Mwanza haiwezi kuwa na Barabara nzuri na greenish kama inayoonekana hapa kwenye video ya Mbeya 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…