Kahama VS Njombe/Mafinga

Wewe Mzee acha excuse hakuna Ofisi ya DPP Mkoa mzima 😆😆
 
Eti sumbawanga ina barabara nyingi...wakati unapost kila siku mavumbi na matope hapa...

Bila kusahau airport iliyopandwa maharage
 
Eti sumbawanga ina barabara nyingi...wakati unapost kila siku mavumbi na matope hapa...

Bila kusahau airport iliyopandwa maharage
Nionyeshe hayo mavumbi na Matope kama ya Bukoba badala ya kuvuka mate bila ushahidi 🤪🤪

Wewe mwenyewe unajua Sumbawanga Ina Barabara Kali Kanda ya Ziwa hakuana..

Nyingine hizi hapa 👇
 
Kuna jengo hapo limekosa wateja...

Miji ya kusini ni ya ovyo tu kuanzia njombe, vvawa, Tunduma, mbeya sijui songea nk..
Yote miundombinu mibovu...
Huko huwa tunaomba kuchukua mashamba na kulima sio pa kuishi.
 
Bukoba with world class facilities...

Cool day Kaitaba stadium Bukoba...

 
Imagine hio Bukoba ya 1980 ni bora kuliko CBD ya Mbeya 2023
Bukoba labda uilinganishe na Uyole .

Mbeya hii hata Mwanza ikasome👇

Your browser is not able to display this video.

Mbeya gani unayoisemea? Ni hii hapa au Kuna nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…