Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

🔥🔥🔥 Thanks for updates..

Harafu wanataka kile kijinga Chao kama gulio wanaita Kahama eti ishindane na Njombe.

Kichuguu na mlima 😁😁
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyie
 
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyie
Humu sio kijiwe Cha porojo ni mwendo wa facts.

Weka picha hatutaki blaa blaa,wenzio wameshindwa kuthibitisha ukubwa wa Kahama Toka Uzi umeanza wewe unadandia mtumbwi wa kibwengo 🤣🤣
 
Ndio huo ushamba mlionao, mmeshindwa kutofautisha kati ya Lodge na hotel. Hapo hotel ni Mdope pekee zingine zana hadhi ya Lodge mnaita Hotel
Huna hoja zaidi ya kubwabwaja maujinga Yako.

Swax tandika hao pimbi na hizi street roads Kali
IMG_20230222_190425_840.jpg
IMG_20230222_190436_121.jpg
IMG_20230222_190337_991.jpg
IMG_20230222_190325_026.jpg
IMG_20230115_114113_114.jpg
 
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyie
341233b9_z.jpg

Njombe hiyo hebu hesabu ina ngapi alafu tafuta mkoa mzima wa shinyanga kama utaikuta naacha kuchangia uzi huu hesabu nyingine hiyo
02(0).JPG
 
Back
Top Bottom