The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Endeleeni kupayuka,Mbeya ileeee 🔥🔥🔥.
City Park👇
City Park👇
Haya madini mnayoUkiacha Chunya-Mbeya,dhahabu pia inapatikana Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe..
Songwe District ni nyumbani Kwa Mgodi wa 4 Kwa ukibwa Tanzania wa New Luika.
Hakuna kitu Lake zone wanacho hakipatikani Nyanda za Juu Kusini

Migodi minne mikubwa ni hiiUkiacha Chunya-Mbeya,dhahabu pia inapatikana Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe..
Songwe District ni nyumbani Kwa Mgodi wa 4 Kwa ukibwa Tanzania wa New Luika.
Hakuna kitu Lake zone wanacho hakipatikani Nyanda za Juu Kusini
Acha ubishi usio na Tija,Buckreef hakuna kitu hapo.Migodi minne mikubwa ni hii
GGM
barrick bulyahulu
barrick nyamongo
Buckreef
Shanta mine
Nyanzaga is coming
Hayo masamaki si Bora greengold,tuna exports everywhere Duniani.
Ukubwa wa mgodi,umepima niniAcha ubishi usio na Tija,Buckreef hakuna kitu hapo.
Hiyo Shanta ni kampuni inamiliki migodi maeneo mbalimbali na Mgodi wao mkubwa Kwa Sasa hapa Tanzania ndio huo wa Luika.
Naaaam, mboga, sangara, Nile perch.
Kwamba samaki haziwi export worldwide..kasome annual economic bulletin ya BOT ,pia kasome annual statistical national report ya nbs .ndio uje utapike hapaHayo masamaki si Bora greengold,tuna exports everywhere Duniani.
Soma kiwango Cha uzalisha acha kuropoka na pia soma investment capital japo hii sio factor sana Kwa sababu migodi mingine ni underground na mingine open mfano wa Shanta Luika ni open Kwa hiyo investment cost yake haiwezi kuwa sawa na underground mines.Ukubwa wa mgodi,umepima nini
je kiwango Cha uzalishaji wa dhahabu uliopo,,, reserve ya dhahabu,,mtaji na rasilimali za uwekezaji, au mapato ya mgodi .
Ukubwa wa mgodi lazima upime resources invested ,, reserve ya madini (inapima lifespan ya mgodi,) na uzalishaji pia ...weka figure hapa ili tuamini maneno yakoSoma kiwango Cha uzalisha acha kuropoka na pia soma investment capital japo hii sio factor sana Kwa sababu migodi mingine ni underground na mingine open mfano wa Shanta Luika ni open Kwa hiyo investment cost yake haiwezi kuwa sawa na underground mines.
Nikuwekee figure kwani hujui kusoma? Fungua hiyo link au googleUkubwa wa mgodi lazima upime resources invested ,, reserve ya madini (inapima lifespan ya mgodi,) na uzalishaji pia ...weka figure hapa ili tuamini maneno yako
Unakushangaza Kwa lipi?Huu Uzi unanishangaza sana
Endeleeni kupayuka,Mbeya ileeee 🔥🔥🔥.
City Park👇
Suala la samaki nalo hulijui halafu unabisha😀😀😀. Mikkde msaidieni huyu dogo. Mimi nimemstudy sana nishajua Kuna mahala hajakaa sawaHayo masamaki si Bora greengold,tuna exports everywhere Duniani.