Kahama VS Njombe/Mafinga

Kigoma na mtwara zilipewa manispaa Kwa kujumlishwa miji miwili tofauti...kigoma ilijumlishwa na ujiji . mtwara ilijumlishwa na mikindani ...hata misungwi itajumlishwa na Usagara i itakuwa manisapa
Nimeelewa ndio maana inaitwa kigoma ujiji na mtwara mikindani.πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kwa Mujibu wa PM,Barabara Mbeya ni kama ifuatavyo
πŸ‘‡
-Igawa-Mbeya km 218,
-Nsalaga-Ifisi/Airport km 32,
-Mbeya Bypass km 48,
-Tactic km 23 .

Kwa kuwa malori hayatapita Mjini na Barabara yote Hadi igawa itakuwa njia 4 ni wazi hata Mbeya Bypass itakuwa njia 4.πŸ‘‡
 
feasibility study tayari 4ways,kama 87km itakua 4ways ni suala la Muda tuu, pia barabara ya Mwanza to Mwanangwa ikijengwa nauhakika barabara ya Busisi-Usagara nayo wataipanua 4ways
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…