Kwa Mujibu wa PM,Barabara Mbeya ni kama ifuatavyo
π
-Igawa-Mbeya km 218,
-Nsalaga-Ifisi/Airport km 32,
-Mbeya Bypass km 48,
-Tactic km 23 .
Kwa kuwa malori hayatapita Mjini na Barabara yote Hadi igawa itakuwa njia 4 ni wazi hata Mbeya Bypass itakuwa njia 4.π