Ebu Tutolee mawazo yako takataka hapa .miradi yote ya maji mama kaikuta ,,,,,sijaona mradi Mpya aliouanzisha ...kama ruwasa na project zake zimeanzishwa awamu ya Tano .Ikumbukwe Mwendazake alishindwa kutatua shida ya Maji Mwanza ila Dk.Samia ameweza.
cc Mjumbe wa NEC
Nazungumzia miradi au Nazungumzia mradi .jifunze kusoma na kuelewa kabla ya kuandika ..Huyo ni mzushi ndio maana anapuuzwa..
Mradi una bil.70 zinatosha maji Mwanza Kwa miaka 5 zaidi
Tuna mradi wa Maji wa Kiwira pale Mbeya Bil.250 una habari Mzee?Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Ameikuta wapi? Inatakiwa kukamilika Kwa miaka mingapi? Mabula akihojiwa na Nyanda alisema miradi ilikwama kuanzia ya maji Hadi stand ni Rais Samia kaikwamua ππEbu Tutolee mawazo yako takataka hapa .miradi yote ya maji mama kaikuta ,,,,,sijaona mradi Mpya aliouanzisha ...kama ruwasa na project zake zimeanzishwa awamu ya Tano .
cc Chawa wa Samia
Hujui namna ya kupresent hoja ...huoni mm nimetuma Hadi vithibitisho vya miradi .haya maneno matupu nani anasikilizaTuna mradi wa Maji wa Kiwira pale Mbeya Bil.250 una habari Mzee?
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Acha porojo wewe πHujui namna ya kupresent hoja ...huoni mm nimetuma Hadi vithibitisho vya miradi .haya maneno matupu nani anasikiliza
Hizo bilioni 250 ziko wapi hapo..by the way wakati mkiendelea kusubiri neema ..
Huo Mkoa wenu ni jangwa na ulitengwa ,saizi mumshukuru Rais Samia kawaonea huruma π
Eti ni jangwa ...Huo Mkoa wenu ni jangwa na ulitengwa ,saizi mumshukuru Rais Samia kawaonea huruma
Mwanza yote ni jangwa nani anaweza bisha? Mtu anaishi Kwimba sijui Kisesa au Misungwi yaani ni hali mbaya ila unajitutumua tuu hapa..Eti ni jangwa ......
Kati ya nsalaga na mwanza wapi jangwa.
Hii ndio green city..kwamba hapa ni green kuliko mwanzaView attachment 2482719View attachment 2482720
Ungeleta picha ,,tungeamini ,lakin Maneno matupu ni nonsense ....unadhani huku ni kama Kwa shemeji zako dodomaMwanza yote ni jangwa nani anaweza bisha? Mtu anaishi Kwimba sijui Kisesa au Misungwi yaani ni hali mbaya ila unajitutumua tuu hapa..
Najua unaumia sana ukiona hizii Barabara za lami Hadi Vijijini ila ndio huna Cha kufanya π€£π€£π€£Ungeleta picha ,,tungeamini ,lakin Maneno matupu ni nonsense ....unadhani huku ni kama Kwa shemeji zako dodoma
Like malorca SpainView attachment 2482723
Hio meli inaisha lini?Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Unaongelea vibarabara vya lami wakati wenzio walishatoka huko, sasa tunawazia megaproject tu, hivyo vimradi vya barabara huwa tunajenga wenyewe kwa mapato yetuππππππππNajua unaumia sana ukiona hizii Barabara za lami Hadi Vijijini ila ndio huna Cha kufanya π€£π€£π€£ View attachment 2482731View attachment 2482732View attachment 2482733View attachment 2482734View attachment 2482735View attachment 2482736View attachment 2482737View attachment 2482738View attachment 2482739View attachment 2482740
Tunawatakia safari njema kwenye kusafirisha hayo mazao kuelekea Dar, nyie mlishafanywa kama mashamba ya bibi.Najua unaumia sana ukiona hizii Barabara za lami Hadi Vijijini ila ndio huna Cha kufanya π€£π€£π€£ View attachment 2482731View attachment 2482732View attachment 2482733View attachment 2482734View attachment 2482735View attachment 2482736View attachment 2482737View attachment 2482738View attachment 2482739View attachment 2482740
Umesahau sgrMiradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13
Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumuluView attachment 2482601View attachment 2482603View attachment 2482605View attachment 2482614View attachment 2482617View attachment 2482619View attachment 2482621
Huna lolote zaidi ya wivu ππTunawatakia safari njema kwenye kusafirisha hayo mazao kuelekea Dar, nyie mlishafanywa kama mashamba ya bibi.