Kahama VS Njombe/Mafinga

Mi Nazungumzia majimbo we unaleta masuala ya rungwe ...nasema Jimbo la busokelo. Kuna lami huko
 
Green gold city watu wawekezaji Wanamiminika mzee HuYo kawekeza kiwanda kikubwa Sana makambako Cha parachichi Avo africa akiwa na mkuu wa mkoa
 
Mkoa wa Mbeya mwaka huu wa 2022/23 tutavunja rekodi ya Makusanyo ya Halmashauri..

Chunya out of 5.3bln wamekusanya 3.9bln Kwa nusu mwaka ndio kusema Hadi June mapato yataenda kwenye 7bln.👇
 
Miradi mikubwa hupelekwa kwenye mikoa mikubwa ..
Kazi inaendelea kwenye hii miradi
JPM bridge -=700 bilion value
,mv mwanza =bilion 80 value
Mradi wa maji =bilion 300
Stendi ya nyegezi =bilioni 16
Jengo la abiria terminal 1 =bilion 12
Soko kuu =bilion 15
JUMLA = trilion 1.13

Wakati miradi yote nyanda za juu haifikii hata milion 500
Na hapa nimezungumzia mkoa mmoja ..
Nyie endeleeni kushangilia barabara ya kasumulu
 
Soko kuu ni 20.7 bilion
 
Hizi bilion 300 za maji zimetoka lini? Me sina uhakika mkuu kama kweli hizo pesa zililetwa kwaajili ya maji.
 
Hizi bilion 300 za maji zimetoka lini? Me sina uhakika mkuu kama kweli hizo pesa zililetwa kwaajili ya maji.
Mradi wa maji butimba
Mradi wa maji buchosa
Mradi wa maji kwimba
Matenk ya buswelu na maeneo mbalimbali mwanza
Miradi ya maji ukerewe
Miradi ya maji magu
Miradi ya maji misungwi
Na miradi ya maji sengerema..
.total value bilioni 300
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…