Kahama VS Njombe/Mafinga

Mapato ya migodi ya Wazungu ndio unalingia?

Kama Halmashauri Zina mapato kidogo siwezi kuja huko Ni uswekeni na wanaishi maskini.
Wew utabaki tu hapo chimala ,,maana ndio unapopaweza sehemu classic huziwezi kabisa

Seng , sengerema is waah
 
The future is exciting...
Uchumi wa mwanza unaenda milestone far ..huku mikoa mingine itabaki ikiburuza mkia

Haters watasema madini yananufaisha wageni .ebu sikiliza hyo clip hapo
 
Usishindane na theluthi ya uchumi wa nchi ...hili eneo limejaa utajiri wa kila aina hivyo tukitaka chochote lazima kije ..tunataka mkoa wa chato na manispaa ya kisesa hamna mwanasiasa atapinga ..ila njombe mlitolewa nje mapema tu

Bucreef pekee inachangia bilion 2.2 kwenye mapato,bado migodi mingine
 
The future is exciting...
Uchumi wa mwanza unaenda milestone far ..huku mikoa mingine itabaki ikiburuza mkia

Haters watasema madini yananufaisha wageni .ebu sikiliza hyo clip hapo
Hapo Kuna Nini zaidi ya porojo za kuuza matunda na stori za nyanzaga ambazo hazikamilikagi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…