Hv mbeya stand mtakayojengewa itagharimu sh ngp?Kama hii ndio final Mchoro Basi no very ugly and poor design 😂😂
Uache kulaumu Mwanza iliyojaa uswazi uje kulaumu Mbeya? Uko serious?Watu wanailaum mbeya!badala wailaum selikal,maana ndiyo yenyejukumu la kubolesha miundombinu pamoja na huduma za jamii kabla ya kuipandisha na baada ya kuipandisha hadhi.ukiangalia mji wa eldoret nchini kenya, utajiuliza why sio jiji, ingikua bongo wangeisha ipa hadhi ya jiji kitambo.
Wivu dhidi ya mwanza utakuua😝😝😝Uache kulaumu Mwanza iliyojaa uswazi uje kulaumu Mbeya? Uko serious?
Niache kuwa na wivu na Mbeya ambayo inatumiwa na Wakuu wa Nchi nije kuwa na wivu na uswazi village city ya Mwanza?Wivu dhidi ya mwanza utakuua😝😝😝
Soma coment vzul.hata mwanza upaswi kuilaumu, kwasababu upangaj miji,na uboleshaj miundo mbinu ni jukumu la selikali.Uache kulaumu Mwanza iliyojaa uswazi uje kulaumu Mbeya? Uko serious?
Uache kulaumu Mwanza iliyojaa uswazi uje kulaumu Mbeya? Uko serious?
Mshukuru Magufuli na Songoro Marine
Hatuna ujinga huo, Mwendazake alizikuta meli na zingine 2 zinaendelea na ujenzi.Mshukuru Magufuli na Songoro Marine
Leo ndio mnaona vitu kama hivi wakati huku kanda ya ziwa tunaviona ni vitu vya kawaida, ndio maana nakuambia wewe bado ni mtu pori unayeishi karne ya 21.
Meli gani aliikuta huko matopeni? Mmeanza kusahau mlipokuwa.Hatuna ujinga huo, Mwendazake alizikuta meli na zingine 2 zinaendelea na ujenzi.
Wewe kima Ziwa Lina meli siku zote na kwa taarifa yako ziko 3Meli gani aliikuta huko matopeni? Mmeanza kusahau mlipokuwa.
Wivu,husda na nongwa 😂😂Leo ndio mnaona vitu kama hivi wakati huku kanda ya ziwa tunaviona ni vitu vya kawaida, ndio maana nakuambia wewe bado ni mtu pori unayeishi karne ya 21.
Zilikuwa ni meli au yalikuwa ni mavyuma chakavu kenge wewe.Wewe kima Ziwa Lina meli siku zote na kwa taarifa yako ziko 3