Ili jiji lina safari kubwa kwa kweli sanki farasi ulitutia aibuπππππππView attachment 2446177
Hiyo ndio picha aliyoweka kwenye uzi wenu wa dar vs nairobi, wakamuuliza wakenya mbona mji hauna ata barabara za kupitisha pikipiki kwahiyo wanajenga wakiwa hawana hitaji la magari wala chombo chochote cha usafiri?
Acha ujinga yaani hiyo picha Ni ya zamani balaa ,ukipiga picha ya Sasa Wala haiko hivyo.View attachment 2446177
Hiyo ndio picha aliyoweka kwenye uzi wenu wa dar vs nairobi, wakamuuliza wakenya mbona mji hauna ata barabara za kupitisha pikipiki kwahiyo wanajenga wakiwa hawana hitaji la magari wala chombo chochote cha usafiri?
We fala yaani Yale mabanda ya nguruwe ya Mwanza nilivyoweka yame attract attention kubwa mmo na kuzua kicheko ππIli jiji lina safari kubwa kwa kweli sanki farasi ulitutia aibuπππππππ
Upuuzi kabsa ety akaokoteleza vipic vya Igogo kuninanga nikapiglia msumari ndiiiiiNilikuwa sijapitia uzi wa dar vs Nairobi, yaani nacheka peke yangu mbeya inavyopekenyuliwaππ
Asaa ww unaakl zako timaru utaweka pic kama hiiView attachment 2446177
Hiyo ndio picha aliyoweka kwenye uzi wenu wa dar vs nairobi, wakamuuliza wakenya mbona mji hauna ata barabara za kupitisha pikipiki kwahiyo wanajenga wakiwa hawana hitaji la magari wala chombo chochote cha usafiri?
Asaa kwann uiweke kulee jamaniAcha ujinga yaani hiyo picha Ni ya zamani balaa ,ukipiga picha ya Sasa Wala haiko hivyo.
Mafiati hapo pako tofauti,hiyo airport ya zamani Ni maduka ya Machinga na ujenzi mwingine kibao umefanyika..
Iyo attention ulkua nayo ww ila ote walkua wamebase na CBD ya Mbeyaaaπ€£π€£π€£π€£We fala yaani Yale mabanda ya nguruwe ya Mwanza nilivyoweka yame attract attention kubwa mmo na kuzua kicheko ππ
Lake Zone Hatuna vijiji tuna Urban na Suburban areasNyie kenge wa Kanda ya Ziwa tuonesheni Barabara za Vijijini za Lami Kama hizi za Mbeya na Mufindi.
MafingaView attachment 2446414
Mbeya View attachment 2446415
Sunk atakuja na vikaragosi vya SAULMwaka huh hamna pa kuponea ..[emoji116][emoji116][emoji116]
Mambo bull bull[emoji91][emoji91][emoji95][emoji95]View attachment 2446671
Aendelee kujifurahisha na SAUL ..[emoji116]Sunk atakuja na vikaragosi vya SAUL
Mbeya yanapita tu, kutokea DAR, yaani Mbeya ni kama stand ya Hungumalwa π π π πAendelee kujifurahisha na SAUL ..[emoji116]
Akiniletea ruti yoyote ya mbeya kwenda majiji ya nje ya nchi ,,Niko pale mniite[emoji116][emoji116]View attachment 2446681
Anafikiri hatupiti kule, mpaka wameilinganisha na Thika townππIyo attention ulkua nayo ww ila ote walkua wamebase na CBD ya Mbeyaaaπ€£π€£π€£π€£
Mpaka tuione barabarani..Mwaka huh hamna pa kuponea ..[emoji116][emoji116][emoji116]
Mambo bull bull[emoji91][emoji91][emoji95][emoji95]View attachment 2446671
au stendi mpya ya kisesa mwanzaπππMbeya yanapita tu, kutokea DAR, yaani Mbeya ni kama stand ya Hungumalwa π π π π
Dar-Harare via Mbeya πMbeya yanapita tu, kutokea DAR, yaani Mbeya ni kama stand ya Hungumalwa π π π π
Mbeya haijawahi na haitakuja kuishiwa Bus mpya πau stendi mpya ya kisesa mwanzaπππ