The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Ona Sasa umeshaanza kushikwa na kiwewe Cha chukiππππ.Kuna nin Cha maana hapa sasa ....au hicho kijengo kimoja kinazuzua
Udumavu unatokana na Kukosa elimu ya lishe na sio Kukosa chakula.Evidence speak louder..leta hizo habari hapa ...na nyie mbona mnaongoza Kwa udumavu
Kwa hyo mnaongoza Kwa ignorance sioUdumavu unatokana na Kukosa elimu ya lishe na sio Kukosa chakula.
Unapojadili na mm ,,,usipende kuharibu Uzi ..unatuma render ,nani anahitaji kuona render hapa ....kama huna picha ,unaweza eleza facts zako Kwa maneno na sio kutuma michoro hapa ...Ona Sasa umeshaanza kushikwa na kiwewe Cha chuki.
Nimepost majengo zaidi ya 20 kutoka mtaa mmja sasa sijui unaweweseka na Nini.
Naendelea kukuletea picha kutoka the same mtaa wa Iwambi/Ituka View attachment 2443197View attachment 2443198View attachment 2443199View attachment 2443200View attachment 2443201View attachment 2443202View attachment 2443203View attachment 2443204View attachment 2443205View attachment 2443206View attachment 2443207this time from sopesya company
Render iko wapi wewe punguani? Hicho Ni kiwewe Cha chuki.Unapojadili na mm ,,,usipende kuharibu Uzi ..unatuma render ,nani anahitaji kuona render hapa ....kama huna picha ,unaweza eleza facts zako Kwa maneno na sio kutuma michoro hapa ...
Jifunze Kwa wenzio wanavyoweza kujenga na kusimamia hoja zao
Kama umezoea kusikia capripoint, bwiru na isamilo...Leo nakuletea maeneo mengine usiyoyajua ndo ujue mwanza ni kikosi kikubwa
MAHINA NEIGHBORHOODView attachment 2443210View attachment 2443211
Nikisema CBD ya Mbeya ni saw na Buzuruga
Nikisema CBD ya Mbeya ni saw na Buzuruga
We kijana zote izo ni CBD. Shanghai city ina CBD 1Nimekuchoka maana hata huelewi.
Posta kwa Dar Ni wapi?
Kariakoo unaitaje?
Kijitonyama?
Mwenge?
Jamani hakuna sehem nikaweka emoji zaidi ya moja coz nmecheka adi machozi wakati huohuo nmeshangaa kumbe Dar ina CBD zote izo, nipo Dar lakin xjaona vote ivoo.π€£π€£πππ²π²Nimekuchoka maana hata huelewi.
Posta kwa Dar Ni wapi?
Kariakoo unaitaje?
Kijitonyama?
Mwenge?
Kwani Mbeya kuna limiti ya kujenga ghorofa coz naona vighorofa vya -5fZipi nilizorudia rudia?
Hizi Ni za taasisi gani? πView attachment 2442916View attachment 2442917View attachment 2442918View attachment 2442919View attachment 2442920View attachment 2442921View attachment 2442922View attachment 2442923View attachment 2442924View attachment 2442925View attachment 2442926View attachment 2442928View attachment 2442929View attachment 2442930View attachment 2442931
Si mala zote unagoogle kalgoogle tenaUmeanza kuhamisha magoli Mara narudia picha Mara niweke neibourhood ππ.
Sina aerial photos za neibourhood za kule Ituka,Forest,Isyesye,Uzunguni,Veta Ikulu,Ivumwe,Iwambi,Tazara nk
Si mala zote unagoogle kalgoogle tenaUmeanza kuhamisha magoli Mara narudia picha Mara niweke neibourhood ππ.
Sina aerial photos za neibourhood za kule Ituka,Forest,Isyesye,Uzunguni,Veta Ikulu,Ivumwe,Iwambi,Tazara nk
Mtazamo wa zamani?.Ndio mtizamo wa zamani huo wa kuwa na CBD.Nakuuliza wewe Sasa kwa kutokuwa na CBD wamekosa huduama ipi? Au hujui hata maana ya hiyo CBD?
Hivyo Ni vitongoji vya mabanda..Hivi huyu mjinga wa mbeya anapajua ibanda,mwananchi buzuruga,bwiru,
Wamekalia maneno na data za michongo, hapa watapita kimya